ππππ Unaonaa ss masharti hayo alafu unasema nitoke Kwa shemeji wkt Kila cku nakula nyamaa mkuuππJamaa mwingine Moja ya masharti aliyopewa na mwenye nyumba asipike nyama mara Kwa mara
Ulikula mzigo?Tulikaa nae kama masaa3 -4 Hivi akaaga akaondoka
Mm npo npo mkuu wangu mpk baadae kdg ndio nitaondokaga ..Mimi nilikaa Kwa Shem nikiwa darasa la Saba. Nilivyokuwa naona au basii tuππ
Tatizo la kuishi kwa shemeji siku dada akibana papuchi mnanuniwa wote na mwenye nyumbaππ.Cc tunaishi Kwa mashemeji Bado ngoja tupatee ujuzi Kwa waliopangaa mkuuπ
Nikiona hyo dalili tu chapu namfata dadaa namletea noma akayamalizee nisije Rudi bush mkuuππππTatizo la kuishi kwa shemeji siku dada akibana papuchi mnanuniwa wote na mwenye nyumbaππ.
Kuwa makini, ukikutana na shemeji baradhuli anaweza kuja kukuomba wewe akinyimwa na dada yakoπππNikiona hyo dalili tu chapu namfata dadaa namletea noma akayamalizee nisije Rudi bush mkuuππππ
Yule mzee jau sana na masharti lukuki kumbe nyumba inajaa maji na Kuna zam ya kuzibua choo( keko magurumbasi)Daaaah mbona alikuficha kukupa code mapema?
Hawa Sasa wanaudini wa kuona Kwa macho aseeHuu Uzi wako unaweza kuunganishwa sababu Kuna Uzi HUMU UNAELEZEA VISA NA MATUKIO YA NYUMBA ZA KUPANGA
utafute Kuna MATUKIO YA kustaajabisha na kusikitishaa
Mpaka Kuna watu walio okota nyumba imagine.
Tukio
Nilimsindikiza bro kutafuta nyumba huko chamazi
Moja ya sharti ilitakiwa kuwa muislamu mama mwenye nyumba anasema hataki mkristo kisa ATAPIGA KWAYA (NYIMBO ZA INJILI)
Hii ya kulipa mwezi 1 ni nzuri sana Kwa sehem kama hizo.Yule mzee jau sana na masharti lukuki kumbe nyumba inajaa maji na Kuna zam ya kuzibua choo( keko magurumbasi)
Nilihama maana nilikuwa nalipa mwezi mmoja mmoja back then
Shida Shem wako akimzingua dadako itabidi muondoke wote bila kuuliza swaliππππ Unaonaa ss masharti hayo alafu unasema nitoke Kwa shemeji wkt Kila cku nakula nyamaa mkuuππ
Mzee kipi kigeni hapo ππUlikula mzigo?
Nikweli lkn bila ubabe kidogo utapelekwa mno imagine mtu anakukataza kuleta mchumba wakoNyumba za uswahilini unatakiwa uwe makini kubishana bishana na mwenye nyumba, kuna wenye nyumba wengine sio watu wazuri.
Mekuelewa πππMzee kipi kigeni hapo ππ
Akija geto huyo ni mboga TyrMekuelewa πππ