D Disminder girl Senior Member Joined Nov 26, 2012 Posts 156 Reaction score 26 May 20, 2014 #1 Habari zenu wanajamvi Kuna rafiki yangu ana tatizo la kansa anatakiwa achome mionzi, na mpaka dakika hii yupo Ocean Road. Kwa sasa ana na bado hajaanza tiba. Kwani mtu anayechoma mionzi inabidi awe katika hali gani? Mwenye uelewa anisaidie.
Habari zenu wanajamvi Kuna rafiki yangu ana tatizo la kansa anatakiwa achome mionzi, na mpaka dakika hii yupo Ocean Road. Kwa sasa ana na bado hajaanza tiba. Kwani mtu anayechoma mionzi inabidi awe katika hali gani? Mwenye uelewa anisaidie.