Disminder girl
Senior Member
- Nov 26, 2012
- 156
- 26
Habari zenu wanajamvi
Kuna rafiki yangu ana tatizo la kansa anatakiwa achome mionzi, na mpaka dakika hii yupo Ocean Road. Kwa sasa ana na bado hajaanza tiba.
Kwani mtu anayechoma mionzi inabidi awe katika hali gani?
Mwenye uelewa anisaidie.
Kuna rafiki yangu ana tatizo la kansa anatakiwa achome mionzi, na mpaka dakika hii yupo Ocean Road. Kwa sasa ana na bado hajaanza tiba.
Kwani mtu anayechoma mionzi inabidi awe katika hali gani?
Mwenye uelewa anisaidie.