Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Kuna mambo mengine tusiwe tunapayuka tu watu weusi. Zanzibar ni ndogo. Tuache tamaa na uroho. Huku bara ardhi ipo ya kutosha na bado imebaki kuwa unproductive haizalishwi.
Haya yamefanywa kulinda jamii na ustawi wa tamaduni za visiwani zisipotee. Visiwa popote duniani vina taratibu za tofauti.
Ikisemwa tu iachwe kuwa suala la maamuzi ya wananchi wenyewe, wazenji watauza ardhi yao holela kwa ushawishi wa pesa nyingi na kujikuta hawana ardhi na kupoteza kila kitu.
Haya yamefanywa kulinda jamii na ustawi wa tamaduni za visiwani zisipotee. Visiwa popote duniani vina taratibu za tofauti.
Ikisemwa tu iachwe kuwa suala la maamuzi ya wananchi wenyewe, wazenji watauza ardhi yao holela kwa ushawishi wa pesa nyingi na kujikuta hawana ardhi na kupoteza kila kitu.