Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesema nadhan km serikali imeziambia lodge zote ziwe na masharti hayo coz yanafanana; na budget matters coz nikikodi sehem nina haki ya kuwa na mtu yoyote na kushare naye km kubana bajetiBudget yako wewe inahusiana nini na serikali.
Hebu soma vzuri acha kukurupuka. Kwani kaka hawawezi kushea kitanda? Marafiki je? Pia c kuna sakafu na mablanketi?Unalalaje kitanda kimoja na mwanaume mwenzio ..mtoa mada una agenda gani ??
Niliwahi fikia La Vesta Lodge magomeni kama wiki mbili. Opposite pale kuna 'mangi shop' ndio ilikuwa chimbo langu baada ya kumaliza harakati za siku . Kuna manzi nikailewa nikaidaka. Kama siku tatu mfululizo nikawa napiga. Siku moja mchana nikamtext, njoo lodge tunywe. Naona kaja na jamaa, at a glance tu unajua ni shoga. Nikaona hapa kuna picha linataka kuchezwa. Fasta, nikawaambia tutakae Restaurant. Wakati tuko kwenye corridor, nikawaambia kuna kitu nimesahau tangulieni. Nikarudi ndani, nikfunga mlango, nikampigia, kuwa endelea na ratiba zako, sintoweza kutoka. Mida ya jioni nimeenda pale dukani, nakuta yupo yule dem na vijamaa viwili, mlendamlenda. Kwa wiki mbili nilizokaa pale, nilisaidiki magomeni uyasemayo ni kweli.Hizo biashara zimeshamiri sana kwenye miji mikuu.. Kwa Dar ni
Kinondoni
Magomeni
Ubungo
Ilala
Temeke
Buguruni
Tabata
Kawe
Tegeta
Buza nknk
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu ukiona demu anakuwa na kampani na shoga ujue anajiamini sana[emoji23] atoacho shoga yeye pia hashindwi kutoaNiliwahi fikia La Vesta Lodge magomeni kama wiki mbili. Opposite pale kuna 'mangi shop' ndio ilikuwa chimbo langu baada ya kumaliza harakati za siku . Kuna manzi nikailewa nikaidaka. Kama siku tatu mfululizo nikawa napiga. Siku moja mchana nikamtext, njoo lodge tunywe. Naona kaja na jamaa, at a glance tu unajua ni shoga. Nikaona hapa kuna picha linataka kuchezwa. Fasta, nikawaambia tutakae Restaurant. Wakati tuko kwenye corridor, nikawaambia kuna kitu nimesahau tangulieni. Nikarudi ndani, nikfunga mlango, nikampigia, kuwa endelea na ratiba zako, sintoweza kutoka. Mida ya jioni nimeenda pale dukani, nakuta yupo yule dem na vijamaa viwili, mlendamlenda. Kwa wiki mbili nilizokaa pale, nilisaidiki magomeni uyasemayo ni kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaaaUko sahihi sana ila kwa hali ilivyo sasa on the ground mambo ni tofauti kabisa.. Wajuba wanagawa viboga kama hawana akili nzuri.. Na hili tangazo la Serikali sidhani kama litasaidia sana, maana hizi mambo wahusika wanafanya na wahudumu wa hizo nyumba za wageni... Labda uwe mgeni ndio utazinguliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena ianze haraka hiyo sheria, mnalalaje chumba kimoja jinsia moja ebooh!!
Hizo kazi mnafanya usiku mzima, hampumziki?!! Ww kwanza kwann ikuume sana..?!!!
Nimechekaa had machoziii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo isikuzuie kala kina delicious, mpe delicious achukue chumba jirani na chako, ukiona kumetulia Zama ndani kwake mzabe makofi mpaka hamu ikuishe. Kesho Rudi kwa mkeo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwakuwa hujaweka exception, una maana wale wanachuo wakiume wanaolala wawili bed moja, mzungu wa nne kule Halls za UD ni wapuuzi siyo
Na wanachuo kule hostel je?Unalalaje kitanda kimoja na mwanaume mwenzio ..mtoa mada una agenda gani ??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mashoga nao watu jaman, watengwe na kila mtu eboooh.Halafu ukiona demu anakuwa na kampani na shoga ujue anajiamini sana[emoji23] atoacho shoga yeye pia hashindwi kutoa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.Hofu ya ushoga itawafanya hata muwekewe sheria mlale chali usiku kucha, stupid.