majebsmafuru
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 454
- 636
Ni swaga tu na staili za kutofautisha mazungumzo ya kawaida na mahubiri ya kidini.
Hata katoliki na wengineo baadhi huongea kiswahili kwa mbwembwe za kilatino
Hoja ni kwamba kuna uhisiano gani wa kiingereza na ukristo?Hili swala la mashehe kuongea kiswahili kama vile hawakijuwi vizuri na chenye lafudhi ya kiarabu ni manjonjo au ndio ukweli mashehe wetu kiarabu kinapanda sana mpaka yawa taabu na shidaaa kuongea kiswahili kama sisi cha kibantu hasa hasa?! Twauliza tu..Itabidi na maaskofu nao wawe basi na lafudhi ya kiingereza wanapohubiri makanisani! Waende sambamba na mashehe!ππ
Wajuvi wa kiswahili TZ ni wachache sana, ila swala analouliza huyu bwana ni lafudhi, wewe wasikilize mashehe au wale manguli wa kusoma Koran! Ila nami ntafuatilia kiswahili cha mapadri, je kina lafudhi ya kiingereza, kilatino au kirumi?!Yani mmefundishwa Kiswahili kutoka huko kwenu bara, tayari mnajiona wajuvi!!!
Ni aina ya ujinga ulijengwa na waarabu walipoleta dini.nikimsikia mtu anaongea hivyo napata hasira,kuna mapadrii pia hutumia lafudhi ya kiebrania japo wao ni wakati ule tu wa kuongoza ibada ila kwa hawa wa kuigiza lafudhi ya kiaarabu wenyewe mpaka mtaani unawasikia eti wanalaza kiswahili utadhani wametokea Oman,kumbe ni wa Ikungi SingidaHili swala la mashehe kuongea kiswahili kama vile hawakijuwi vizuri na chenye lafudhi ya kiarabu ni manjonjo au ndio ukweli mashehe wetu kiarabu kinapanda sana mpaka yawa taabu na shidaaa kuongea kiswahili kama sisi cha kibantu hasa hasa?! Twauliza tu..Itabidi na maaskofu nao wawe basi na lafudhi ya kiingereza wanapohubiri makanisani! Waende sambamba na mashehe!ππ
Hahahahaha sina mbavu kabisa...πππNi aina ya ujinga ulijengwa na waarabu walupoleta dini.nikimsikia mtu anaongea hivyo hasira,kuna mapadrii pia hutumia lafudhi ya kiebrania japo wao ni wakati ule tu wa kuongoza ibada ila kwa hawa wa kuigiza lafudhi ya kiaarabu wenyewe mpaka mtaani unawasikia eti wanalaza kiswahili utadhani wametokea Oman,kumbe ni wa Ikungi Singida
Wew itakuwa ni wale waHili swala la mashehe kuongea kiswahili kama vile hawakijuwi vizuri na chenye lafudhi ya kiarabu ni manjonjo au ndio ukweli mashehe wetu kiarabu kinapanda sana mpaka yawa taabu na shidaaa kuongea kiswahili kama sisi cha kibantu hasa hasa?! Twauliza tu..Itabidi na maaskofu nao wawe basi na lafudhi ya kiingereza wanapohubiri makanisani! Waende sambamba na mashehe!ππ
Kabisa, hata mie and very proud of it, wewe je?! Chotara wa kizungu au bedui?!Wew itakuwa ni wale wa Radha Shure Mzuli Reo Balafu