Mashehe kuongea kiswahili kama kiarabu..!

Mashehe kuongea kiswahili kama kiarabu..!

Hiyo ni colonial legacy na ipo kwenye dini zote

1.Muislamu hupenda kumuiga muarabu aliyemletea dini kuanzia mavazi, chakula tabia hata matamshi ambayo mara kwa mara wanashindwa kutamka vyema lahaja za kiswahililakini mbongo anaanza kumuiga tena huyo anayekosea ili afanane naye

2.Mkristo naye hupenda kumuiga mzungu aliyemletea dini kuanzia mavazi, tabia, lugha na matamshi. Sana sana walokole ndio wamekubuhu kwenye hili, unakuta mzungu anashindwa kutamka lahaja za kiswahili kama jioni yeye ataita CHIONI sasa unakuta mbongo nabii wa magumashi naye anaiga vile vile makosa ya mzungu.......CHIONI YA LEO BWAANA ATAKUCHA KUONGEA MAHALI HAPA""
🙂🙂🙂
 
Asilimia kubwa ya maneno ya kiswahili ni ya Kiaarabu
Hata kwenye kiingereza kuna maneno ya Kiarabu mfano Admiral,Assassin,Lime na kadhalika
Neno pekee la msamiati wa kiswahili toka kwenu ugogo ni Ikulu pekee
 
Hiyo ni colonial legacy na ipo kwenye dini zote

1.Muislamu hupenda kumuiga muarabu aliyemletea dini kuanzia mavazi, chakula tabia hata matamshi ambayo mara kwa mara wanashindwa kutamka vyema lahaja za kiswahililakini mbongo anaanza kumuiga tena huyo anayekosea ili afanane naye

2.Mkristo naye hupenda kumuiga mzungu aliyemletea dini kuanzia mavazi, tabia, lugha na matamshi. Sana sana walokole ndio wamekubuhu kwenye hili, unakuta mzungu anashindwa kutamka lahaja za kiswahili kama jioni yeye ataita CHIONI sasa unakuta mbongo nabii wa magumashi naye anaiga vile vile makosa ya mzungu.......CHIONI YA LEO BWAANA ATAKUCHA KUONGEA MAHALI HAPA""
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Ni aina ya ujinga ulijengwa na waarabu walipoleta dini.nikimsikia mtu anaongea hivyo napata hasira,kuna mapadrii pia hutumia lafudhi ya kiebrania japo wao ni wakati ule tu wa kuongoza ibada ila kwa hawa wa kuigiza lafudhi ya kiaarabu wenyewe mpaka mtaani unawasikia eti wanalaza kiswahili utadhani wametokea Oman,kumbe ni wa Ikungi Singida


Teeeh teeeh teeeh teeeh,
Pokea like mubashara kabisa
 
Ni jambo la kawaida sana.... Mtu huathirika na lugha anayoitumia mara kwa mara...Na ndio maana hata vijana wengi waliopitia katika elimu hii ya kizungu huenda akashindwa kuongea robo saa bila neno la kiingereza...
 
Wajuvi wa kiswahili TZ ni wachache sana, ila swala analouliza huyu bwana ni lafudhi, wewe wasikilize mashehe au wale manguli wa kusoma Koran! Ila nami ntafuatilia kiswahili cha mapadri, je kina lafudhi ya kiingereza, kilatino au kirumi?!
Hahahaha ila kuna kaukweli hapo...waTZ kwa swaga na umaskini wetu acha kabisa..🙂😉
kwa kweli kiswahili hatujui ni kama wewe ulivyoandika "wajuvi" ukidhani ndio "wajuzi" kumbe Wajuvi kwa kiswahili ni watu wasiokua na heshima.
 
Ni uamuzi;
Kwani ni mara ngapi tulishuhudia wanaccm wanapoongea wanaiga sauti mfano ya NAPE (Enzi zile akiwa kundini)
Kwani ni mara ngapi tunaona wanachadema wakiongea wanaiga sauti ya Mbowe
Makamanda hali sio nzuri... kamanda Lema tumemtuma Arusha sisi haha
 
Asilimia kubwa ya maneno ya kiswahili ni ya Kiaarabu
Hata kwenye kiingereza kuna maneno ya Kiarabu mfano Admiral,Assassin,Lime na kadhalika
Neno pekee la msamiati wa kiswahili toka kwenu ugogo ni Ikulu pekee
Kwa asilimia ni 20% tu ndio yanatoka kwenye kiarabu 80% yanatoka kwenye lugha za kibantu na lugha nyingine.
 
Kwa asilimia kubwa kiswahili kinatoka na kiarabu na hata ukiangalia baadhi ya maneno yanatumika kama yalivyo kwa lugha zote mbili.
Neno kama 'shukrani...sabaa, sita, kabur... hayo ni baadhi ya maneno (kwa uchache) ambayo yanatumika na lugha zote kama yalivyo...
Kiswahili kilianzia pwani, sehemu kama zanzibar, dar es salaam n.k, na tunajua kuwa sehemu hizi ndizo zilikaliwa na waarabu so kuongea kiswahili katika lafudh ya kiarabu ni kama kukirudisha kwenye asili yake.
Neno lenyewe kiswahili ni neno lakiarabu.
 
QUOTE="REDEEMER., post: 21822757, member: 275470"]kwa kweli kiswahili hatujui ni kama wewe ulivyoandika "wajuvi" ukidhani ndio "wajuzi" kumbe Wajuvi kwa kiswahili ni watu wasiokua na heshima.[/QUOTE]
kwa kweli kiswahili hatujui ni kama wewe ulivyoandika "wajuvi" ukidhani ndio "wajuzi" kumbe Wajuvi kwa kiswahili ni watu wasiokua na heshima.
Mie nilijibu huko nyuma mkuu, nikaliweka neno hivyo hivyo (copy and paste)!
Yani mmefundishwa Kiswahili kutoka huko kwenu bara, tayari mnajiona wajuvi!!!
 
Hili swala la mashehe kuongea kiswahili kama vile hawakijuwi vizuri na chenye lafudhi ya kiarabu ni manjonjo au ndio ukweli mashehe wetu kiarabu kinapanda sana mpaka yawa taabu na shidaaa kuongea kiswahili kama sisi cha kibantu hasa hasa?! Twauliza tu..Itabidi na maaskofu nao wawe basi na lafudhi ya kiingereza wanapohubiri makanisani! Waende sambamba na mashehe!🙂😉
hahaha
daah ila mkuu umenifurahisha sana. hili ni swali nililojiulizaga siku nyingi sana.

Ukweli ni Kwamba waislamu wengi hasa wenye dini sana huwa wanatamani kuwa waarabu. yaani wanatamani sana huwa wanajuta hata kuwa weusi maskini
 
kiarabu ndiyo baba mzazi wa kiswahili..huwezi kuvitenganisha ikiwa utataka kukizungumza kiswahili kwa usanifu na ufaswaha wake


Acha ujinga, utumwa na upoyoyo wa kufikili na kujitoa ufahamu.

Wewe, Mtafute Mwl wa Kiswahili atakuelimisha mchanganuo mzuri juu ya Kiswahili.
 
Huu usanii upo kila mahala. Wasikilize waimbaji wetu wa miziki ya kisasa. Wengi wao, waume kwa wake, lakini hasa wake, wakiimba (sio rap, hip-hop au hata hizi za kubana pua) utakuta anaimba kiswahili kama mzungu.

Hutamka maneno ya Kiswahili utadhani ana kaa la moto kinywani wakati kazaliwa na kukulia Mwahako, Tanga.

Kwa hiyo tusiwalalie sana mashehe na makasisi.
 
Back
Top Bottom