Mashehe wangu Watukufu, katika siasa tumuunge mkono huyu Shehe na nukuu yake

Mashehe wangu Watukufu, katika siasa tumuunge mkono huyu Shehe na nukuu yake

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Bado sijapata jina la shehe huyu, lakini hakika kasema bila woga kwa kunukuu maandiko tunayoyaamini kuwa ni matakatifu.

Anayebisha anaye mpinga basi atuonyeshe naye kuwa shehe hapo kapotosha wala sio kweli. Hii inasaidia kuponya taifa maana kama jambo alilikataza mwenyezi Mungu kulifanya ni ubatili.

FaizaFoxy

 
Bado sijapata jina la shehe huyu, lakini hakika kasema bila woga kwa kunukuu maandiko tunayoyaamini kuwa ni matakatifu.
Anayebisha anaye mpinga basi atuonyeshe naye kuwa shehe hapo kapotosha wala sio kweli. Hii inasaidia kuponya taifa maana kama jambo alilikataza mwenyezi Mungu kulifanya ni ubatili.
FaizaFoxy
Huyo hayo ni maoni yake binafsi siyo mafundisho ya Kiislam. Kama haijatumika AI kumpachika maneno.
 
Bado sijapata jina la shehe huyu, lakini hakika kasema bila woga kwa kunukuu maandiko tunayoyaamini kuwa ni matakatifu.
Anayebisha anaye mpinga basi atuonyeshe naye kuwa shehe hapo kapotosha wala sio kweli. Hii inasaidia kuponya taifa maana kama jambo alilikataza mwenyezi Mungu kulifanya ni ubatili.
FaizaFoxy
Malaria 2 tupe mwongozo hapa.
 
Bado sijapata jina la shehe huyu, lakini hakika kasema bila woga kwa kunukuu maandiko tunayoyaamini kuwa ni matakatifu.
Anayebisha anaye mpinga basi atuonyeshe naye kuwa shehe hapo kapotosha wala sio kweli. Hii inasaidia kuponya taifa maana kama jambo alilikataza mwenyezi Mungu kulifanya ni ubatili.
FaizaFoxy

Ukitaka ujue tatizo la Mwanamke anzia kwenye familia .
Asiwe na kazi au ana kazi kisha Mwanaume awe na mali nyingi na pesa nyingi. Mwanaume awe anampa mkewe pesa zote za kuhudumia watoto na kila kitu . Taratibu mwanamke ataanza kuwaambia watoto kuwa yeye ndio anayetoa pesa na baba yao hafanyi chochote . Atawaaminisha watoto hivyo na kuwafarakanisha na baba yao . Mwishowe anajenga jamii ya watotowasiomjali baba yao na kuona kuwa wanaume ni watu wabaya sana.
 
Bado sijapata jina la shehe huyu, lakini hakika kasema bila woga kwa kunukuu maandiko tunayoyaamini kuwa ni matakatifu.

Anayebisha anaye mpinga basi atuonyeshe naye kuwa shehe hapo kapotosha wala sio kweli. Hii inasaidia kuponya taifa maana kama jambo alilikataza mwenyezi Mungu kulifanya ni ubatili.

FaizaFoxy

View attachment 3145792
Mchochezi!
 
Bado sijapata jina la shehe huyu, lakini hakika kasema bila woga kwa kunukuu maandiko tunayoyaamini kuwa ni matakatifu.

Anayebisha anaye mpinga basi atuonyeshe naye kuwa shehe hapo kapotosha wala sio kweli. Hii inasaidia kuponya taifa maana kama jambo alilikataza mwenyezi Mungu kulifanya ni ubatili.

FaizaFoxy

View attachment 3145792
Nina wasiwasi huyu Sheikh anaweza kutekwa,Mafwele anamlia timing tu
 
Ujuajin
Hadi unapiga mashehe
Mimi mwenyew imani yangu ni Islam na hivyo ndivyo nilivyofundishwa kuwa mwanamke anaweza kuwa kiongizi ila sio ngazi ya juu kabisa labda itokee hakuna mwanaume hata mmoja mwenye sifa za kuongoza.
Nimekuwa nafatilia kwa miaka mingi maoni ya huyo mama naisi kabisa ana Uzanzibar na Uzanzibara mwingi sana hadi wakati mwingine anaonesha chuki za wazi.
 
Bado sijapata jina la shehe huyu, lakini hakika kasema bila woga kwa kunukuu maandiko tunayoyaamini kuwa ni matakatifu.

Anayebisha anaye mpinga basi atuonyeshe naye kuwa shehe hapo kapotosha wala sio kweli. Hii inasaidia kuponya taifa maana kama jambo alilikataza mwenyezi Mungu kulifanya ni ubatili.

FaizaFoxy

View attachment 3145792
Tumejionea sisi wenyewe. Sio ya kuambiwa.
 
Huyo hayo ni maoni yake binafsi siyo mafundisho ya Kiislam. Kama haijatumika AI kumpachika maneno.
Leo unakana hadith sahih kabisa kwa vile tu inakwenda kinyume na matakwa yako ya kidunia?
Hakuna AI hapo, ni nukuu sahih kabisa.

‘Never will succeed such a nation as makes a woman their ruler’ [al Bukhari].

The positions of leadership that the hadith refers to is those of the Imam (both of a nation and of the male/mixed congregational prayer), judges, and chief commanders of the Muslim army and those who carry out judicial punishments. However, even in regards the position of a judge, there were some scholars who permitted woman to be judges. [Fathul Bari, Tuhfa al Muhtaj, Fathul Mu’in, Ihya Ulum al Din].
 
Bado sijapata jina la shehe huyu, lakini hakika kasema bila woga kwa kunukuu maandiko tunayoyaamini kuwa ni matakatifu.

Anayebisha anaye mpinga basi atuonyeshe naye kuwa shehe hapo kapotosha wala sio kweli. Hii inasaidia kuponya taifa maana kama jambo alilikataza mwenyezi Mungu kulifanya ni ubatili.

FaizaFoxy

View attachment 3145792
Kazi kwenu waisilamu, je, mtaasi maandiko ya Mtume kwa ajili ya kupokea dinari?
Hayo aliyoyasema Shehe di msneno yake bali ni maagizo toka kwa Mtume.
Kwenu Bakwata, je, nanyi mtamuasi Mtume kwa ajili ya kupokea dinari?
 
Back
Top Bottom