Pre GE2025 Masheikh 12 waliochiwa na mahakama kutokana na tuhuma za ugaidi Machi 4 wakamatwa tena na kurudishwa gerezani!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hapo utakuta kesi ya ugaidi walikosa ushahidi wakaamua kusema hawana nia ya kuendelea na shauri ili waachiwe huru na wakamatwe kwa kufunguliwa mashtaka mapya hapo usikute wamefunguliwa kosa la uchochezi
 
Yani wamesota gerezani miaka 10 yote hiyo inamaana waliwatoa wa nini kama wana mashaka nao..
Huo ni ujinga wapewe haki zao.
 

Hii mbaya sana aisee, bora wasinge raise hope zao, hii mbaya sana ndugu zangu!
 
watu wana tuhuma za ugaidi, na shura ya maimamu inawatetea. tuweke conclusion gani hapo?
TUhuma umuweke ndani miaka 15 bila ya conviction ina make sense? Na wewe ukituhumiwa uwekwe ndani bila ya hukumu ya mahakama?
 
What are you insinuating? Kwamba Shura ya Maimam nao ni magaidi au walikuwa part and parcel ya huo ugaidi uliowasababisha hao maimam kuwa gerezani?
Whatever it is, miaka yote hiyo how come jamaa hao bado ni remandees? Ni upelelezi gani wa miaka 10?
kwamba sijawahi kuona wakilaani ugaidi, ila wale ambao evidence zinaonyesha ni magaidi huwa wanatetewa na hii shura, wale wenye misimamo mikali ya kigaidi kama kina Ponda, shura hii huwa inawatetea. hakuna asiyejua yale waliyoyatenda hao watu waliopo gerezani tangu enzi za kikwete ambaye ni muislam mwenzao, na hata sasaivi samia ni muislam, wangekuwa wakristo watupu mngesema pengine mmeonewa, ila hata waislam wenzenu wanajua hiki hawa watu wanafanya, mambo ya kibiti, amboni tanga na mtwara, ulishawahi kusikia shura ya maimam ikilaani hata siku moja vitendo hivyo? kama jibu ni siyo, kwa nini tusiamini kwamba na wao wanasapoti ugaidi?
 
Mzee ulivokutana na zile tuhuma za kubakwa,unataka yule aliyetuhumiwa kukuingilia kinguvu asitetewe?........Si ndio maaa Kuna mahakama kuthibitisha uhalali wa makosa?
sasa wewe ndio maana huwa tunasema hata funga yenu ni takataka tu haiwabadilishi mioyo, umeandika uchafu gani huu sasa ndugu gaidi?
 
Serikali ishikilie hapo hapo. Hakuna kuachia hao magaidi.
 
Kinachoshangaza ni Shura ya Maimamu pekee ndiyo wanapaza sauti. BAKWATA wenyewe wako busy na dua ya kumuombea Mama ili aishi milele.
Bakwata ni chombo cha cha serikali kinachotumia jina dini ya kiislam Bakwata haikuwekwa na Waislam imeanzishwa na Serikali kwa chochote kitakacho fanywa na serikali Bakwata haiwezi kupinga chochote .Bakwta inafuata mkia iko nyuma ya Serikali.
 

Kwanini wamekamatwa tena?Kuna wakati tunajizima data. Kupanga uhalifu au kutekeleza uhalifu sio misingiya dini ya aina yoyote.

Hakuna dini ambayo waumini wake wamepewa ruksa ya kudhuru waumini wa dini nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…