Masheikh kurundikwa Magereza bila kufunguliwa kesi Mahakamani nchini Tanzania, nini hatma yake?

Masheikh kurundikwa Magereza bila kufunguliwa kesi Mahakamani nchini Tanzania, nini hatma yake?

Simba zee 33

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
1,374
Reaction score
1,564
Sio tu masheikh wa uamsho ambao walikamatwa na SMZ na kuletwa Tanganyika kuendelea na mashitaka yao ya ugaidi lakini Serikali ya awamu ya tano ilivyoingia madarakani kesi zote zikasimamishwa na hakuna tena kupelekwa mahakamani isipokua ni mateso ya hali ya juu ambayo huwezi kuamini ukiambiwa.

Hakuna mtu anataka kuishi na wahalifu mtaani haswa magaidi... Lakini mahakama Ndio taasisi yenye mamlaka ya kutia watu hatiani na kutoa hukumu.

Lakini katika awamu hii ya tano tumeshuhudia karibu kila Mkoa kuna marundo ya masheikh na viongozi wa kiislamu jela kwa tuhuma za ugaidi.

Swali la kujiuliza hivi Tanzania tumepata mashambuliziangapi ya ugaidi?

Hivi kweli mikoa yote hii hao viongozi wengi wao wakiwa ni wazee ni magaidi?

Kulikoni hawapelekwi mahakamani?

Almarhum Maalim Seif na Hussein Mwinyi walifunga safari hadi chato kumuangukia mtu mmoja kuhusu masheikh sio kuachiwa Bali kupelekwa mahakamani ili wapate haki yao lakini kwa macho makavu amekataa.

Hivi kweli nchi hii itaongozwa na mtu mmoja mwenye chuki binafsi na watu wenye imani tofauti na yeye Hivi Hivi bila majuto?

Kweli uislamu na ukristo ni dini zilizoletwa na wazungu na waarabu hapa kwetu na kila mtu ana haki ya kufuata au kutifuata dini yeyote lakini awamu hii kua muislamu Tanzania ni kama vile kua muovu, kwanini?
 
Ukiacha tu ndevu nyingi unkamatwa.ukionekana tu unasijida unakatwa.
 
mhe Rais HUSSEIN MWINYI , naona ni mtu RAHIIM. , hili aliangalie kwa macho ya mbaaali, kwani walioko ndani kama wana kesi ya kujibu wawapeleke MAHAKAMANI. kuliko0 kuwaacha tu hili haliko sawa. NCHI HII NI YETU SOTE MAADAMU KUNA WIZARA YA SHERIA NA UTAWALA BORA , watusaidie.
 
mhe Rais HUSSEIN MWINYI , naona ni mtu RAHIIM. , hili aliangalie kwa macho ya mbaaali, kwani walioko ndani kama wana kesi ya kujibu wawapeleke MAHAKAMANI. kuliko0 kuwaacha tu hili haliko sawa. NCHI HII NI YETU SOTE MAADAMU KUNA WIZARA YA SHERIA NA UTAWALA BORA , watusaidie.
tatizo wanashikiliwa bara sasa huyu Mwinyi atasaidia vipi
 
Tuombe Allah muda si mwingi Bi: Samia atakapo kuwa up to the top ili suala litaisha. Tuseme inshanlah!
Walishikiliwa tangu enzi za mwenzenu JK! Huyo Bi. Samia atakuwa up to the top lini? Mkuu acha kuota mchana kweupe.

Amueni kwa pamoja kuungana kutetea haki za hao Masheikh wenu! Tatizo mmegawanyika sana. Mfano wale viongozi wenu wa Bakwata unaweza kudhani ni sehemu ya Serikali ya awamu hii ya 5/6! Kwa namna wanavyo shirikiana kwa ukaribu.
 
Wewe waache madhalimu ambao kwa kibri tu wanaowatesa masheikh.

Malipo yao yanaweza kuanzia hapahapa duniani!
 
Mleta mada usiwe na wasiwasi maana hao masheikh wako sehemu salama kabisa wakiandaliwa kurudi uraiani

Kwa lugha ya kitehama tunaweza sema hao masheikh wako kwenye sandbox
 
Mashekhe waliochoka makanisa

Mashekhe walio mwagia watalii tindikali

Mashekhe walio muuwa padri evalist mushi

Mashehe walianzisha mtandao wa ugaidi kibiti kuteka vituo vya polisi tanga mjini, staskishari na kibiti kuuwa polisi na kuiba siraha

Mashekhe waliotaka wakristo hasa watalii wasikanyage Zanzibar


Bora wakae hukohuko au wauliwe maana kazi yetu ni kuwauwa ili Magaidi ili Mungu akawahukumu yeye maana hakuna hakumu ya gaidi duniani zaidi ya kifo
FB_IMG_1615564033829.jpg


Sent from my vivo 1820 using JamiiForums mobile app
 
Kama uwezo wako wa kutafari mambo ni huo wewe ni wa kuonewa huruma
Pathetic
Hayo yote ni makosa ya jinai kwa nini kesi haindelei?
 
Hawa waendelee kupiga duna la mwisho mwisho wanatoka muda si mwingi
 
Back
Top Bottom