Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Masheikh nchini wameitaka Serikali kuacha kuingilia masuala ya dini nchini na kuitaka iheshimu ili utulivu uendelee kudumu nchini.
Wametolea mifano masuala mbalimbali mfano utolewaji wa elimu ya dini mashuleni kwa kuanzisha mitaala mipya itakayosomesha dini mashuleni.
Sheikh Pomba amesema kama Serikali inataka kuihusisha na dini basi ianzishe dini yake, lakini waislamu nchini hawajaomba msaada wowote wa kuboresha dini yao mashuleni.
Wametolea mifano masuala mbalimbali mfano utolewaji wa elimu ya dini mashuleni kwa kuanzisha mitaala mipya itakayosomesha dini mashuleni.
Sheikh Pomba amesema kama Serikali inataka kuihusisha na dini basi ianzishe dini yake, lakini waislamu nchini hawajaomba msaada wowote wa kuboresha dini yao mashuleni.