Hao wanaliwagaπ π πHao ni mashemeji wa mume, hebu siku moja ututafutie na tabia za mashemeji wa mume hasa wale wa kike ndio utashangaa vizuri. Yaani rafiki au ndugu wa kike wa mke au girlfriend.
Kwa nini mkuudah umemaliza uzi
Wanawake sio wapambe hivo kama mashemeji wa kiumeniLakini wanawake nanyi hamfichiani siri?...
Jamaa ni mpuuzi, kuingiza malaya mnapolala na mkeo ni kunajisi ndoa yenuYaani nilihisi kusinyaa maini,kisa nyumba unakaa mwenyewe ndo ufanye hivo et oooh shetani na upweke mfyuu
ππππ Ukweli mtupuTeh teh tehView attachment 1825995
Mnajitoa sana katika hilo utadhani mtu akiliwa kuna asilimia ya malipo inakuja kwenu...kikubwa kwetu mashemeji mtu/watu waliwe.tupo tayari kuplay part yoyote unafiki,usiri,uongo ilimradi mliwe tu SIMPLE
Mnajitoa sana katika hilo utadhani mtu akiliwa kuna asilimia ya malipo inakuja kwenu...
Shemeji katika ubora wako....Lakini mkuu hebu tushauriane kitu. Suppose mimi ni shemeji yako. Na najua kabisa jamaa ana mademu wengine kibao nje. We unataka mi nifanye nini??
nimekaa kama wiki hivi kupitia umafia wangu nkajua alikuwa analeta vitoto vya chuo nyumbani na yenyewe yanajua kabisa na yanajichekesha shemeji shemeji nyingi,
Kuwa na amani Shemeji, si unanielewa Shem? Mimi huyu Nina mmudu kabisa, wewe relax, niachie Mimi. Tunamalizia maongezi tu anarudi sasa hivi.3. Shemeji mlinzi, hii tabia ni karibia ya wote, siipendi, labda yupo na jamaa akimaliza kuongea na mtu wake kwa simu shemeji anapewa simu asalimiee cha kwanza kwa shemeji kukisikia ni "mambo shem usijali tunakulindia"
ππππ Hivi mnajua kama huwa mnakera? Au mashemeji zenu mazombie ndio wanapendaga hayo maneno?Kuwa na amani Shemeji, si unanielewa Shem? Mimi huyu Nina mmudu kabisa, wewe relax, niachie Mimi. Tunamalizia maongezi tu anarudi sasa hivi.
Ishu hata sio kutaka mashemeji waseme, nami sitaki hata mtu aniambie habari za mtu wangu....Wewe sasa ndio ulifanya la maana. Mambo ya mahusiano yako unatakiwa upambane nayo mwenyewe, ukikaa kusubiri mashemeji tukuambie utasubiri sana. Sisi wenyewe tuna matatizo yetu kibao yanatushinda. Lazima tukunafikie ili tuendelee kuvuna benefits huku tukisubiri kama ukishtukia mchezo mkaamua kulisanua sisi tuna side na ndugu yetu π
Ishu hata sio kutaka mashemeji waseme, nami sitaki hata mtu aniambie habari za mtu wangu....
Ishu ni ile kiherehere mingi ya mashemeji, shemeji tunakupenda, tunakulindia kwani mi nimewatuma? mashemeji mjifunze kutulia
Wazo kuntu hili...And nothing we can do about it.
Tuwatukane tu kimoyomoyo.
Na kuwang'ong'a.
Hao dawa ni kutowachukulia serious.Wazo kuntu hili...
ππππ Shemeji kama shemejiYaani kiherehere ndio karakataristik kuu ya kua shemeji, hatuwezi kuacha. Ni sawa utake mawifi wasiwe na gubu ππ
Ukimshirikisha tu shemeji matatizo ya ndugu/ rafiki yake, anajifanya mfariji na kuanza kutengeneza mazingira ya kula kimasihara.Hao dawa ni kutowachukulia serious.
Wakija kwako wakaribishe na mapochopocho kama yoooote lkn ujue kabisa wale sio marafiki zako kwa hiyo uweke mipaka Yako.
Sio watu wa kuwakimnilia na kilio kila mara kuhusu mpenzi wako.
Mbona nipo na shetani hapa, anasema ni jamaa mwenyewe tu na tamaa zakeYaani nilihisi kusinyaa maini,kisa nyumba unakaa mwenyewe ndo ufanye hivo et oooh shetani na upweke mfyuu