Mashemeji huwa ni wapambe sana, wapambe nuksi

Mashemeji huwa ni wapambe sana, wapambe nuksi

Demu: Jamani huyu rafiki yako hata simuelewi siku hizi, nahisi ana mchepuko maana sijamzoea hivi. Shemeji hebu nambie ukweli, usinifiche.

Mimi kama mpmbe nuksi sasa: Aah shemela, wasiwasi wako tu... jamaa anakupenda sana. Mi yule dogo nimekua naye namjua nje ndani hawezi kunificha kitu na hata akinificha nitajua. We relax, itakuwa majukumu yanambana tu.

Demu: Eti eeeh...(huku akicheka cheka tu bila mpango)
 
Boys will be boys..

Yaani kama kuna mwanamke anafikiri rafiki wa mume wako au Ndugu yake wa kiume..
Atakuja eti kumzuia Ndugu yake asichepuke basi huyo mwanamke akapimwe akili...

Kila mwanaume ni mfalme kwenye himaya yake... Hatuelekezani namna ya kuendesha ufalme wake..mtu akiamu kuwa na michepuko 20 ni yeye...

Binafsi katika kesi sitaki kusikia ni mdada aje kwangu eti mdogo wangu au Kaka yangu au rafiki ana michepuko...hayanihusu mkishindwana achananeni Tu bila kuhusisha wengine

Exactly [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huu uzi umenifanya nikajisikia vibaya, kuna jamaa yangu ananifanya niwe shemeji wa namna hii. Sasa nikiulizwa nisemeje? Jamaa kweli anayo ya kutosha, wife wake ni kama analiona hilo Jambo Ila hana uhakika 100%, mi nikiulizwa nisemeje?

"Shem wala usijali, jamaa anatafuta pesa hana mda na wanawake hata kidogo, maisha yenyewe haya unadhani micheps itampeleka wapi, so relax".
 
Demu: Jamani huyu rafiki yako hata simuelewi siku hizi, nahisi ana mchepuko maana sijamzoea hivi. Shemeji hebu nambie ukweli, usinifiche.

Mimi kama mpmbe nuksi sasa: Aah shemela, wasiwasi wako tu... jamaa anakupenda sana. Mi yule dogo nimekua naye namjua nje ndani hawezi kunificha kitu na hata akinificha nitajua. We relax, itakuwa majukumu yanambana tu.

Demu: Eti eeeh...(huku akicheka cheka tu bila mpango)
Shemeji kama shemeji, upambe sasa....
 
Huu uzi umenifanya nikajisikia vibaya, kuna jamaa yangu ananifanya niwe shemeji wa namna hii. Sasa nikiulizwa nisemeje? Jamaa kweli anayo ya kutosha, wife wake ni kama analiona hilo Jambo Ila hana uhakika 100%, mi nikiulizwa nisemeje?

"Shem wala usijali, jamaa anatafuta pesa hana mda na wanawake hata kidogo, maisha yenyewe haya unadhani micheps itampeleka wapi, so relax".
Bora hata huyo anakuuliza, maana yake yeye ndio anajishughulisha kumchunguza bata...
Kuna wale wapambe yeye hajaulizwa hajaambiwa tayari kauvaa ushemeji upambe kama wote.
 
Bora hata huyo anakuuliza, maana yake yeye ndio anajishughulisha kumchunguza bata...
Kuna wale wapambe yeye hajaulizwa hajaambiwa tayari kauvaa ushemeji upambe kama wote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uzuri katika maisha kila mtu ni shemeji hapa duniani
 
Back
Top Bottom