KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Huyu ni tapeli asiye na akili timamuHuyu jamaa anayejiita Mchungaji Mashimo amesababisha hasara baada ya wadau wengi wa Uswahili kucheza kamari wakiamini kwamba maneno yake yana ukweli wowote .
Huyu anapaswa kukamatwa na kuhojiiwa ili iwe fundisho kwa matapeli wengine
View attachment 2597342
Well said.Kama mtu ni taahira kiasi cha kusikiliza taahira mwenzenu, mnalalamika nini sasa? Hayo ndio matunda ya utaahira wenu
Mimi ndiyo maana siku zote mbuzz za aina hii huwa ninazichukulia kama 🚮 tu.Huyu jamaa anayejiita Mchungaji Mashimo amesababisha hasara baada ya wadau wengi wa Uswahili kucheza kamari wakiamini kwamba maneno yake yana ukweli wowote .
Huyu anapaswa kukamatwa na kuhojiiwa ili iwe fundisho kwa matapeli wengine
View attachment 2597342