ISHI KISASA ZAIDI....!!!!!!
Tunatoa Hudumu ya ujenzi wa mashimo ya vyoo vya kisasa ni vyoo Bora na salama Kwa matumizi ya kila mtanzania
Sifa za vyoo vya kisasa.
[emoji1666] Ni Imara na vina ubora wa Hali ya juu.
[emoji1666] Ujenzi wake Hutumia eneo dogo
[emoji1666] Ni rafiki Kwa mazingira (Havitoi harufu mbaya)
[emoji1666] Hudumu kwa mda mrefu (si rahisi kujaa)
[emoji1666] Vinafaa Kwa matumizi ya makanisani/ miskitini, shuleni, hospital, nyumba za kuishi n.k
[emoji1666] Vinafaa maeneo yote yaani sehemu za kichanga, mfinyanzi, n.k
[emoji1666] Urefu futi 10 na upana futi 6 baada ya kuset tofari zinabaki futi 4 hadi 4.5
Na Haya mashimo gharama yake ni 1,500,000/ kwa mikoa Yote Tanzania
NB. Gharama zote za vifaa ni ndani ya bei tajwa yaani ni juu yetu.
Tunapatika Temeke Dar es salaam Tanzania na tunafanya kazi mikoa yote Tanzania bara na visiwani. Kwa mawasiliano zaidi tupigie 0789005562 au njoo wasap kwa link hii Wa.me//255789005562
By
Kelvin Hk
View attachment 2699699View attachment 2699700View attachment 2699701View attachment 2699702