Kuna uwezekano mtu akaishi leo lakini ana vision ya miaka 25 ijayo.Daah 89 hadi leo si wanasema ni ya kileo/kisasa? Kumbe tangu zamani yalikuwako? Asante kwa ushuhuda.
0784158633Mkuu niunganishe na fundi na mimi ninunue vifaa aje anitengenezee nimlipe ufundi...
Haya ndio mashimo mazuri sasa na yanaweza kukaa muda mrefu na kipindi cha masika hayataweza kusumbua kabisaNimebuni aina fulani ya mashimo ya vyoo (septic tank za kisasa). Aina hiyo inatumika kwenye ngazi ya familia na kwenye jamii. Kitu cha kwanza kwenye mashimo hayo ni kusakafia kwa zege, na kuhakikisha hakuna tone la maji linaloingia wala kutoka, isipokuwa pale tu ilipokusudiwa. Ufanisi wa matenki hayo ni mkubwa sana.
Kaka naomba connection na uyo fundi wako tuyajengeMimi nilichokifanya, kwanza nilisoma kwa makini na kuangalia video mbalimbali Youtube na kwenye baadhi ya account za instagram za wanaofanya kazi hii.
Ni kweli ukiangalia material wanazotumia na ghalama wanayokupa ni vitu viwili tofauti kabisa. So nilichokifanya mimi ni kumwita fundi anifanyie nnachokitaka (kama nilivyokua nasoma mitandaoni). Na kazi aliimaliza vizuri kwa ghalama isiyozidi laki 8.
Hata hivyo hiyo gharama bado ni kubwa sana kwa kazi wanazozitangaza hao jamaa. Mimi nilijenga mashimo makubwa kidogo ndio maana ikafikia gharama hiyo
Gharama zipojeNimebuni aina fulani ya mashimo ya vyoo (septic tank za kisasa). Aina hiyo inatumika kwenye ngazi ya familia na kwenye jamii. Kitu cha kwanza kwenye mashimo hayo ni kusakafia kwa zege, na kuhakikisha hakuna tone la maji linaloingia wala kutoka, isipokuwa pale tu ilipokusudiwa. Ufanisi wa matenki hayo ni mkubwa sana.
GharamaNimebuni aina fulani ya mashimo ya vyoo (septic tank za kisasa). Aina hiyo inatumika kwenye ngazi ya familia na kwenye jamii. Kitu cha kwanza kwenye mashimo hayo ni kusakafia kwa zege, na kuhakikisha hakuna tone la maji linaloingia wala kutoka, isipokuwa pale tu ilipokusudiwa. Ufanisi wa matenki hayo ni mkubwa sana.
Hellow atariiiWizi mtupu sema wabongo wanaponzwa na ule utengenezani wanavyoremba pale juu na kulifukia lisionekane lakini kujaa linajaa sema yale maji wanayotoa kwenye choo kuelekea kwenye mawe ndio yanakoishia maana yale mawe yanafyonza maji. Na inategemea na sehemu (ardhi) hapa ununio baari beach ninapoishi walichimba hivyo haifika mwaka saa hivi ni dimbwi hakuna cha yale mawe wala choo kote kumejaa ni dimbwi..
Ngoja nikufundishe kinachofanyika pale.
Lile choo linachuja mzigo(nya)na bomba (pvc)linalotoka kwenye choo (septick tank)linaelekezwa sehemu ambayo wamechimba mtaro kama wenge upana wa 5×15 na urefu wa 2mtrs kwenda chini alafu wanapanga mawe yanajaa hadi juu kidogo wanaacha kama urefu wa 2 ft kujaa usawa wa ardhi wanafunika yale mawe kwa nylon (ili maji ya juu mvua ikinyesha yasiingie kwenye hayo mawe)alafu wanafunika kwa udongo.(yalw mawe hayapati udongo kabisa)hapo sasa lile joto la mawe kule chini halipati kwa kuhemea hivyo maji yakiingia pale maana mawe yana kiu ndio mawe yanameza maji taka yako.
Hiyo ndio sayansi wanayosema eti choo cha kisasa kisichojaa[emoji2][emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama wana uhakika kwamba hayatajaa kwa nini tena watoe guarantee ya miaka mitano?Wanatoaga hata ya Miaka mitano, but je Guarantee hiyo ni "Legal Binded"?? Au ndio kuanza kuanzisha kusumbuana kwengine?
Hivi kwa kulinganisha haya mashimo ya kawaida kwa sasa ujenzi wake unaweza kugharimu kiasi gani ili kuhalalisha bajeti ya 2m na zaidi kwa kujenga haya mashimo ya kisasa?Haya mashimo inategemeana!
Mfano sehemu kama dar changamoto za mashimo kujaa maji ni kubwa sana kwa sababu shemu kubwa ni za maji maji yani ukichimba futi 12 tu tayari unakutana na maji ndio maana hii teknolijia mpya watainyaka sana watu wa dar maana ndio wenye changamoto nyingi za mashimo kujaa!
Lakini hata haya mashimo ya kawaida kama upo sehemu ya udongo mkavu usio na chemchemi ya maji unaweza kukaa nalo hata miaka 30 solijae kabisa.
Anacho kifanya fundi wakati wa kulijenga anaacha nafasi baina ya tofali na tofali kila baada ya hatua kadhaa! Zile nafasi ndio zitakazokuwa zinawezesha maji kutorokea ardhini ila ule uchafu mgumu unaendelelea kubaki huku ukioza. Nafikiri waliokaa vijiji mashaidi vile vyoo vya mashimo ya kuchungulia vilikuwa mpaka miti inaoza ndio mnabadilisha shimo lingine.
Kinachofanya shimo la choo kujaa ni yale maji ndio maana hata wakija kunyonya huwa kwenye lile bomba la kunyonyea wanaweka kama chujio na hivyo wanaondoka na maji tupu huku taka ngumu zikibaki humo humo shimoni. Ndio maana kama upo sehemu isiyo na changamoto ya chemchemi za maji haya mashimo ya kawaida utakaa nayo milele ili mradi fundi wako akuwekee mfumo wa kuwezesha maji kutoroka na hatakiwi kulisakafia.
Ama kwa upande wa haya mashimo ya kisasa kuna jamaa huku mtaani kwetu kuna changamoto ya mvua ikinyesha zinaota chemchemi nyingi na hivyo alikuwa na chngamoto ya kuvuta kila mwka ila toka ajenge hilo shimo la kisasa huu ni mwka wa tatu hajavuta.
mimi ni wewe kabisa,ndo vitu vyangu hivyo.Mimi nilichokifanya, kwanza nilisoma kwa makini na kuangalia video mbalimbali Youtube na kwenye baadhi ya account za instagram za wanaofanya kazi hii.
Ni kweli ukiangalia material wanazotumia na ghalama wanayokupa ni vitu viwili tofauti kabisa. So nilichokifanya mimi ni kumwita fundi anifanyie nnachokitaka (kama nilivyokua nasoma mitandaoni). Na kazi aliimaliza vizuri kwa ghalama isiyozidi laki 8.
Hata hivyo hiyo gharama bado ni kubwa sana kwa kazi wanazozitangaza hao jamaa. Mimi nilijenga mashimo makubwa kidogo ndio maana ikafikia gharama hiyo
Ukitaka karo la majitaka lisijae wewe ukishachimba hakkkisha kuta zake zina matundu kunyonya maji na toboa sakafu yake matundu madogo madogo maji yapige kisha huko shimoni wshusha kiroba cha chokaa na chumvi.Wakuu Kwema?
Kuna haya mashimo ya choo wanayosema hayajai. Inawezekana kweli hayajai au yanajaa kwa kuchelewa lakini naona kama yanakuzwa sana Gharama zake. Yaani nikijaribu kuangalia materials yanayotumika kujenga haya mashimo sioni kabisa system moja ya mashimo mawili kugharimu 2Mil +.
Inawezekana kabisa labda sababu yanapendwa sana ndio maana bei zake ziko juu ili wajenzi wapige hela ndefu, lakini kwenye materials halisi ki ukweli nyinyi wajenzi mnakuza sana.
Au kuna mwenye kuelewa why bei za haya mshimo (system) ziko juu wakati bei za mchanga, cement, kokoto, pipes vinajulikana?
Mashimo hayo yalikuepo toka miaka ya nyuma isipokua jamii haikuyaona umuhimu wake kwa sababu idadi ya watu ilikua ndogo na maeneo yalikua mkubwa sasa watu wameongezeka na maeneo yamepungua badala ya kujenga mashimo ya kunyonya tunageukia hayo yasiyonyonywa tahadhari kwa mabosi wawe makini na mafundi maana ukimchukua fundi kishoka utajuta na ndo wengi humumtandaoniHivi kwa kulinganisha haya mashimo ya kawaida kwa sasa ujenzi wake unaweza kugharimu kiasi gani ili kuhalalisha bajeti ya 2m na zaidi kwa kujenga haya mashimo ya kisasa?
Exactly,tatizo wanaingizwa chaka na mafundi vishoka,ufanyaji kazi hauna tofauti,ili mfumo uwe Sawa lazima kuwe na vitu viwiliMashimo hayo yalikuepo toka miaka ya nyuma isipokua jamii haikuyaona umuhimu wake kwa sababu idadi ya watu ilikua ndogo na maeneo yalikua mkubwa sasa watu wameongezeka na maeneo yamepungua badala ya kujenga mashimo ya kunyonya tunageukia hayo yasiyonyonywa tahadhari kwa mabosi wawe makini na mafundi maana ukimchukua fundi kishoka utajuta na ndo wengi humumtandaoni
Jibu mada iliyoko mezani, why mnafanya bei kubwa?ISHI KISASA ZAIDI....!!!!!!
Tunatoa Hudumu ya ujenzi wa mashimo ya vyoo vya kisasa ni vyoo Bora na salama Kwa matumizi ya kila mtanzania
Sifa za vyoo vya kisasa.
[emoji1666] Ni Imara na vina ubora wa Hali ya juu.
[emoji1666] Ujenzi wake Hutumia eneo dogo
[emoji1666] Ni rafiki Kwa mazingira (Havitoi harufu mbaya)
[emoji1666] Hudumu kwa mda mrefu (si rahisi kujaa)
[emoji1666] Vinafaa Kwa matumizi ya makanisani/ miskitini, shuleni, hospital, nyumba za kuishi n.k
[emoji1666] Vinafaa maeneo yote yaani sehemu za kichanga, mfinyanzi, n.k
[emoji1666] Urefu futi 10 na upana futi 6 baada ya kuset tofari zinabaki futi 4 hadi 4.5
Na Haya mashimo gharama yake ni 1,500,000/ kwa mikoa Yote Tanzania
NB. Gharama zote za vifaa ni ndani ya bei tajwa yaani ni juu yetu.
Tunapatika Temeke Dar es salaam Tanzania na tunafanya kazi mikoa yote Tanzania bara na visiwani. Kwa mawasiliano zaidi tupigie 0789005562 au njoo wasap kwa link hii Wa.me//255789005562
By
Kelvin HkView attachment 2699699View attachment 2699700View attachment 2699701View attachment 2699702
HaYana gharama kubwa! Gharama ni Kulingana na kazi inaYofanyika! Na HayaJai kwa sababu Ya mifumo Ya ujengaji! Tunatumia tofali zenye uwazi hivyo maji yanapotea hapo lakini pia tunapoteza kabla hayajafika kwenye shimo! So sio kwamba HaYajai milele Ila Yanachukua muda mrefu kujaa tofauti na mashimo Ya kawaida...Hii tunakupa hata miaka 50Jibu mada iliyoko mezani, why mnafanya bei kubwa?
And why hayajai ?
Unapotosha mkuu!Wanaopenda hayo mashimo si kwamba hayajai, ni bei iko cheap. Ukiona bei iko juu unapigwa tu!