Mashindano makubwa ya "drafti" Dar: Noel Namaloe atwaa ubingwa baada ya kumshinda Ronaldo katika fainali

Ilikuwaje aisee
Aliugua sana kichwa akapelekwa hospitali, huko alilazwa siku nyingi akiugulia. Ndugu zake walikua wanahangaika sana kumtibia hadi akapata nafuu

Madaktari wakaiambia familia yake kua huyu mgonjwa wenu inaonekana kuna kitu anakifanya kwa kufikiria sana inatakiwa apunguze au akiache kabisa.

Mangwezi akamjibu daktari kua nasomaga magazeti tu, sa familia yake ikaropoka kua kua muongo anachezaga madraft
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…