mansoorsaid
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 1,498
- 286
baada ya kusikia cosafa hayamo kwenye ratiba ya fifa nikajaribu kupitia mtandao wa fifa kuona je cecafa imo kwenye ratiba ya fifa? nimekuta hakuna.
kwa hiyo inavyosemwa cecafa mashindano ya bonanza ni sahihi.
na ndio maana cecafa haiwezi kuweka haya mashindano ya home and away.
timu nyingi huwa hazishiriki ila yanga asiposhiriki kunakuwa nongwa kwa musonye.
nawashauri yanga mwaka huu wasishiriki mashindano hayo uhuni alioufanya musonye mwaka jana wa kuwachagulia wachezaji wa kucheza na kutoa maneno ya vitisho ubabe fedhuri iwe mwisho kwa yanga.
Tiboroha umfundishe musonye sheria za mashindano
kwa hiyo inavyosemwa cecafa mashindano ya bonanza ni sahihi.
na ndio maana cecafa haiwezi kuweka haya mashindano ya home and away.
timu nyingi huwa hazishiriki ila yanga asiposhiriki kunakuwa nongwa kwa musonye.
nawashauri yanga mwaka huu wasishiriki mashindano hayo uhuni alioufanya musonye mwaka jana wa kuwachagulia wachezaji wa kucheza na kutoa maneno ya vitisho ubabe fedhuri iwe mwisho kwa yanga.
Tiboroha umfundishe musonye sheria za mashindano