Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Haya mashindano yamekuwa mazuri sana. Na nafikiri sekta ya Stand up comedy Tanzania ndiyo imezaliwa. Washiriki karibu wote walikuwa vizuri sana tofauti na wakina Pilipili, Idrisa na Bukuku. Hawa wanajua.
Na hawa washindi waliopatikana ni wanajua hasa. Hata kuna wengine walitolewa lakini bado walikuwa ni wenye vipaji vikubwa. Kama wakina Boom nk.
Hongera sana kwa waandaaji.
Mshindi wa kwanza amekuwa Leonard aliyepata 10m na kiwanja.
Na hawa washindi waliopatikana ni wanajua hasa. Hata kuna wengine walitolewa lakini bado walikuwa ni wenye vipaji vikubwa. Kama wakina Boom nk.
Hongera sana kwa waandaaji.
Mshindi wa kwanza amekuwa Leonard aliyepata 10m na kiwanja.