Mashindano ya Division ZERO 2023


Hatari Sana. Mimi huwa nasema Tanzania ijayo ya miaka ishirini itakuwa ya ajabu Sana. Na hivi uchawa umekuwa kazi rasmi.
 
Naunga mkono hoja, tungepata idadi ya waalimu wa hiyo shule tungejua mengi.. serikali iangalie hili swala na vijana tuko tu mtaani tunaranda randa labda tungekupunguza failure.. kingine kama hao ni form 4 tu vipi form 3 na 1 wangeiganya hiyo shule tu.. maana hata ufatiliaji wa wanafunzi hapo ni kazi kila siku unakutana na sura mpya.
 
Sijui kwanini nikiona wasichana washule wamevaa hizo takataka kichwani husikia kinyaa kiasi cha kutapika!
 
Hapo suala serious kwao ni kufunga ramadhani tu mengine ni takataka kwao... angalia hizo ijabu utapata majibu. Hovyo sana.
 
Asante mkuu.

Makazi yangu kwa sasa ni kibaha mkoa wa pwani hapo huwa napita tu nikielekea nyumbani.
Hahahahahaha mambo ya multiple IDs hayo kwi kwi kwi kwi!! We ni mpumbavu na mshenzi sana! Unasikia raha gani kujiuliza na kujijibu? We mwalimu utakua jobless!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…