Mashindano ya Division ZERO 2023

Mashindano ya Division ZERO 2023

Sasa wanafunzi sahvi huko shuleni kutwa kudiscus mambo ya bongo fleva na wasanii wao,huku wakiwaduatilia wakina mwijaku babalevo jumalokole,kutwa kukatika mauno tu shuleni wakishindana kucheza singeli,mpaka hapo kuna kufaulu...
Mfano hawa kwenye video hii watapiga 1,2,3 kweli

Ova
View attachment 2499347

Hatari Sana. Mimi huwa nasema Tanzania ijayo ya miaka ishirini itakuwa ya ajabu Sana. Na hivi uchawa umekuwa kazi rasmi.
 
Hii ni special case. Wanafunzi 1032 kwa darasa moja ni wengi sana. Hapo unapata mikondo 26 kwa wastani wa wanafunzi 40 kila mkondo. Shule kama Tanga Tech, Moshi Tech, Ilboru, Mzumbe na zingine za kitaifa huwezi kuta kwenye darasa moja kuna wanafunzi zaidi ya 50. Hao wa kata hawatendewi haki. Hapo wanafunzi 1032 unakuta kuna waalimu wasiozidi 10 wakati ilitakiwa wawe zaidi ya 50. Kwenye practicals waliingia kwa session ngapi?

Viongozi wa wanaojinadi kumsaidia Mama Samia kazi wajitafakari upya. Kusimama majukwaani na kutoa sifa kwa mama ni kama kichaka chenu cha kuficha madhaifu yenu. Leo siwalaumu hao vijana zaidi ya 400 waliopata sifuri. Kulikuwa hakuna namna.
Naunga mkono hoja, tungepata idadi ya waalimu wa hiyo shule tungejua mengi.. serikali iangalie hili swala na vijana tuko tu mtaani tunaranda randa labda tungekupunguza failure.. kingine kama hao ni form 4 tu vipi form 3 na 1 wangeiganya hiyo shule tu.. maana hata ufatiliaji wa wanafunzi hapo ni kazi kila siku unakutana na sura mpya.
 
Hakika vijana WAPENDA starehe mmeamua kutufungulia mwaka na ZERO zenu.

Eg.Taifa Sec. School, Division ZERO 474, Division 4 (ambayo ni division 0 iliyochangamka 533=YUTONG 15 full capacity).

NB: unapata mpaka Civics, Kiswahili F?
SEKTA zitakazonufaika na mgao huu WA division ZERO
1. Ualimu,
2. Polisi,
3. Bongo Movie,
4. Singeli.
5. Umoja wa vijana (vyama vya Siasa).
Sijui kwanini nikiona wasichana washule wamevaa hizo takataka kichwani husikia kinyaa kiasi cha kutapika!
 
84640733-628F-44AE-A4F6-58C84E4FD698.jpeg
 
Sasa wanafunzi sahvi huko shuleni kutwa kudiscus mambo ya bongo fleva na wasanii wao,huku wakiwaduatilia wakina mwijaku babalevo jumalokole,kutwa kukatika mauno tu shuleni wakishindana kucheza singeli,mpaka hapo kuna kufaulu...
Mfano hawa kwenye video hii watapiga 1,2,3 kweli

Ova
View attachment 2499347
Hapo suala serious kwao ni kufunga ramadhani tu mengine ni takataka kwao... angalia hizo ijabu utapata majibu. Hovyo sana.
 
Asante mkuu.

Makazi yangu kwa sasa ni kibaha mkoa wa pwani hapo huwa napita tu nikielekea nyumbani.
Hahahahahaha mambo ya multiple IDs hayo kwi kwi kwi kwi!! We ni mpumbavu na mshenzi sana! Unasikia raha gani kujiuliza na kujijibu? We mwalimu utakua jobless!
 
Back
Top Bottom