Mashindano ya Division ZERO 2023

We ni kichaa wanaonufaikxa na nnchi hii kama kina babu tale,Peter msechu,diamond, mbwana samata,bakkheresa,jazia na madokta dokta babu tale,jazia na uvccm elimu zao zote ukijumlisha na wamiliki wa mabus watakueleza unwell kina Dr Mengi kufaulu shule sio kufaulu maisha kamuulize lazier alop8ga mabii kadhaa kwenye madini
 

Walimu wanafaidikaje na Division zero?
 
Serikali inatamani ifute shule zote za binafsi zibaki shule zake za kata tu; bora tukose wote.
 
Hapo hutasikia Mwenezi Wala Lissu anazungumzia hizi ZERO
 
Kunywa maji mengi pia pata muda mwingi wa kupumzika. Inasaidia kuboresha afya yako ya akili.
 
Duh! hii sifa za kujenga mashule,watu hawalipi ada,hamna walimu na vitendea kazi ndio OUT PUT yake.
Bado shule hazijitoshelezi, ziko chache sana, zatakiwa ziongezeke zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…