We ni kichaa wanaonufaikxa na nnchi hii kama kina babu tale,Peter msechu,diamond, mbwana samata,bakkheresa,jazia na madokta dokta babu tale,jazia na uvccm elimu zao zote ukijumlisha na wamiliki wa mabus watakueleza unwell kina Dr Mengi kufaulu shule sio kufaulu maisha kamuulize lazier alop8ga mabii kadhaa kwenye madiniHii ni special case. Wanafunzi 1032 kwa darasa moja ni wengi sana. Hapo unapata mikondo 26 kwa wastani wa wanafunzi 40 kila mkondo. Shule kama Tanga Tech, Moshi Tech, Ilboru, Mzumbe na zingine za kitaifa huwezi kuta kwenye darasa moja kuna wanafunzi zaidi ya 50. Hao wa kata hawatendewi haki. Hapo wanafunzi 1032 unakuta kuna waalimu wasiozidi 10 wakati ilitakiwa wawe zaidi ya 50. Kwenye practicals waliingia kwa session ngapi?
Viongozi wa wanaojinadi kumsaidia Mama Samia kazi wajitafakari upya. Kusimama majukwaani na kutoa sifa kwa mama ni kama kichaka chenu cha kuficha madhaifu yenu. Leo siwalaumu hao vijana zaidi ya 400 waliopata sifuri. Kulikuwa hakuna namna.
Hakika vijana WAPENDA starehe mmeamua kutufungulia mwaka na ZERO zenu.
Eg.Taifa Sec. School, Division ZERO 474, Division 4 (ambayo ni division 0 iliyochangamka 533=YUTONG 15 full capacity).
NB: unapata mpaka Civics, Kiswahili F?
SEKTA zitakazonufaika na mgao huu WA division ZERO;
1. Ualimu,
2. Polisi,
3. Bongo Movie,
4. Singeli.
5. Umoja wa vijana (vyama vya Siasa).
hakun dhulma hapo watoto hawasomi.Ni wakati Sasa Zanzibar kuwa na Baraza Kamili la Mitihani. Dhuluma hii haivumiliki.
Serikali inatamani ifute shule zote za binafsi zibaki shule zake za kata tu; bora tukose wote.Hakika vijana WAPENDA starehe mmeamua kutufungulia mwaka na ZERO zenu.
Eg.Taifa Sec. School, Division ZERO 474, Division 4 (ambayo ni division 0 iliyochangamka 533=YUTONG 15 full capacity).
NB: unapata mpaka Civics, Kiswahili F?
SEKTA zitakazonufaika na mgao huu WA division ZERO;
1. Ualimu,
2. Polisi,
3. Bongo Movie,
4. Singeli.
5. Umoja wa vijana (vyama vya Siasa).
Hapo ndio tatizo lilipoanziaDarasa lina wanafunzi buku
Kunywa maji mengi pia pata muda mwingi wa kupumzika. Inasaidia kuboresha afya yako ya akili.We ni kichaa wanaonufaikxa na nnchi hii kama kina babu tale,Peter msechu,diamond, mbwana samata,bakkheresa,jazia na madokta dokta babu tale,jazia na uvccm elimu zao zote ukijumlisha na wamiliki wa mabus watakueleza unwell kina Dr Mengi kufaulu shule sio kufaulu maisha kamuulize lazier alop8ga mabii kadhaa kwenye madini
Hao mabinti ni washenzi wa tabiaHata hapa nilipo kuna. binti alianza na shikamoo, naitikia vizuri tu.
Ila nowdays ananiambia mambo, nauchuna tu
Bado shule hazijitoshelezi, ziko chache sana, zatakiwa ziongezeke zaidiDuh! hii sifa za kujenga mashule,watu hawalipi ada,hamna walimu na vitendea kazi ndio OUT PUT yake.
Sasa unazungumzia idadi au ubora,kama hizo chache wanatoa zero za kutosha maana yake nini?Bado shule hazijitoshelezi, ziko chache sana, zatakiwa ziongezeke zaidi
Always findings an excuse for your failuresNi wakati Sasa Zanzibar kuwa na Baraza Kamili la Mitihani. Dhuluma hii haivumiliki.