Mashindano ya Division ZERO 2023

NECTA imemwaga waolewaji!
Nendeni sasa mkajitwalie katika hao binti wawe wake zenu; mwenye uwezo wa kutwaa mmoja haya! Wa mbili sawa; wa kutwaa watatu nayo sawa maana jambo hili ni jema. Mmeumbiwa hao jitwalieni ila kwa njia istahiliyo.
 
Kuzaliwa katika nchi hii ni raha sana. Yaani eti serikali inawasaidia wanafunzi kwa kuwafichia zero halafu kila siku hawa wachumiatumbo wanatumia migongo ya watoto wetu kukwea kisiasa. Hii ni nchi ya kipumbavu sana.
 
kuzaliwa katika nchi hii ni raha sana. Yaani eti serikali inawasaidia wanafunzi kwa kuwafichia zero halafu kila siku hawa wachumiatumbo wanatumia migongo ya watoto wetu kukwea kisiasa. Hii ni nchi ya kipumbavu sana.
Chibu hakufika hata hiyo Form 4 leo hii BILIONEA
 
Mshindi wa hayo mashindano anapata nn?
 
Nashauri serikali iwe na utaratibu wa kuwabadilisha vituo walimu wa shule zilizofelisha kwenda kwenye shule zilizofaulisha vivyo hvyo kwa walimu wa shule zilizofaulisha ilikubadilishana mbinu.
 
Zero haiondolewi kwa siasa.

Maswala ya elimu huanzia kwa wazazi kuwajibika
Wazazi wenyewe wa wajibikaji wako wapi?

Familia nyingi za hali ya chini Unakuta Baba mlevi, Mama kupiga umbea kutwa nzima..

Hawa hawa waliofeli leo hasa mabinti waki ingia mtaani hujazwa mimba na huwa wazazi na kuendeleza Cycle ile ile ya wazazi wazembe..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…