Mashindano ya drafti kitaifa, Chunya Mbeya

Mashindano ya drafti kitaifa, Chunya Mbeya

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Mashindano ya siku Tatu ya drafti kitaifa yameanza leo huko Chunya, Mbeya.

Leo yamechezwa makundi na 16 bora.

Walioingia 16 bora ni hawa.

RATIBA RASMI YA MASHINDANO YA DRAFTI KITAIFA IMESHATOKA.
YATAANZA RASMI TAREHE 30 AGOSTI 2023 HADI 01 SEPTEMBA 2023.

MASHINDANO YA KUMTAFUTA BINGWA WA DRAFT TANZANIA 2023



WASHIRIKI

KUNDI A
Sisco
Gaby
Monster
Dogo shuku
Ngapulila

KUNDI B
Dilima
Digi Digi
Aradini
Dogo yassin
Matongo

KUNDI C
Noel
Mwasapile
Mbeya city
Dogo janja
Mawazo

KUNDI D
Mamba
Keny hisabati
Nungwi
Gaidi
Hemed Arusha

KUNDI E
Rama Arusha
Dany Mbeya
Dogo Athuman
Kwata mwivi
Lissu

KUNDI F
kiwembe
Stive Mbeya
Dogo Hans
Rama singida
Dogo Ally

KUNDI G
Simba Dom
Shaban Mbeya
John kipaji
Kili mnyama
Zaidi

KUNDI H
Nduli
Babu songea
Amani Siri
Hussein tanga
Kavimba

16 BORA
A1 vs E2
D1 vs. H2
B1 vs. F2
C1 vs G2
E1 vs A2
H1 vs D2
F1 vs B2
G1 vs C2

Robo fainali
Mshindi 1 vs 2
Mshindi 3 vs 4
Mshindi 5 vs 6
Mshindi 7 vs 8

Nusu fainali
R1 vs R2
R3 vs R4

Mshindi wa 3
Fainali

Zawadi
1. 2,000,000/=
2. 1,000,000
3. 500,000


IMG_20230830_165305_225.jpg



Robo fainali
1693456275423.jpeg
 
Haya mashindano niliambiwa yatafanyika lakini nikajua ananitania.

Host wa haya mashindano ni jamaa mmoja hivi Big nilicheza naye pale manyanya nikamfunha goli za kutosha.
Jamaa fulani mwanamichezo sana.
 
Hapa fainali wanaweza ingia Dogo Sisco na Ronaldo, au Dogo Sisco na Nduli

Naam, itakuwa fainali haswaa...ila natabiri kuanzia mwakani ARUSHA watakimbiza sana.
Rama wa Arusha kapigwa kama ngoma na Sisqo.
 
Back
Top Bottom