medisonmuta
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 2,400
- 1,424
Hapo walivyoweka kufikiri mwisho sekunde ngapi? Kuna watu huwa wana tabia ya kulala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo walivyoweka kufikiri mwisho sekunde ngapi? Kuna watu huwa wana tabia ya kulala.
Sijajua maana nami narushiwa tu na mwananguHapo walivyoweka kufikiri mwisho sekunde ngapi? Kuna watu huwa wana tabia ya kulala.
Nduli kafa kwa Noel
Fainali ni Ronaldo na Noel
Chagueni upande kabisa maana baadaye tukichukua ubingwa msije kusema mlikuwa team Ronaldo tangu mwanzo
Noel naye amechafukwa siku hiziRonaldo bingwa
Hapo walivyoweka kufikiri mwisho sekunde ngapi? Kuna watu huwa wana tabia ya kulala.
Wanakudunda sana onlineDraft ni mchezo mgumu sana yani
Dakika moja halafu unahesabiwa kumi. Maana yake sekunde 70
Mi team Noel. Sema hawa jamaa nawakubali wote. Watu cool sana. Jamaa yako anasema mshindi wa tatu na fainali ni saa ngapi kesho?Nduli kafa kwa Noel
Fainali ni Ronaldo na Noel
Chagueni upande kabisa maana baadaye tukichukua ubingwa msije kusema mlikuwa team Ronaldo tangu mwanzo
Nimemuuliza ila hayupo online, akinijibu nitakujuzaMi team Noel. Sema hawa jamaa nawakubali wote. Watu cool sana. Jamaa yako anasema mshindi wa tatu na fainali ni saa ngapi kesho?
Wanasomana hawa. Ligi ndogo ya juzi kati Ronaldo alikufa kwa Sisqo. Utashangaa safari ijao anapasuka tena. Huwa wanaenda kukagua.Ronaldo anabeba hilo kombe yule jamaa ana njaa mwili mzima Leo nimeongea nae kanihakikishia hata kumfunga Sisco aliniahidi yule jamaa ni jini
Kabisa halafu Noel na Ronaldo hawa ndio derby wanajuana sana ila mm Nampa Ronaldo kutokana Noel anatoka kundi la watu huru ambapo wale ndoto yao kubwa ni kuzima ufalme wa Ronaldo na basi Ronaldo kulijua hilo huwa anacheza kwa sprit kubwa sana kama inamjengaWanasomana hawa. Ligi ndogo ya juzi kati Ronaldo alikufa kwa Sisqo. Utashangaa safari ijao anapasuka tena. Huwa wanaenda kukagua.
Hii mechi nmeishuhudia Ronaldo mtu mbaya Sanaa kafanya bonge la Moja la kambaki...Ronaldo anabeba hilo kombe yule jamaa ana njaa mwili mzima Leo nimeongea nae kanihakikishia hata kumfunga Sisco aliniahidi yule jamaa ni jini
Saa 4 asubuhiMi team Noel. Sema hawa jamaa nawakubali wote. Watu cool sana. Jamaa yako anasema mshindi wa tatu na fainali ni saa ngapi kesho?
Nnje ya mada big up sana kwa kipaji cha uchoraji Chifu.Hii mechi nmeishuhudia Ronaldo mtu mbaya Sanaa kafanya bonge la Moja la kambaki...
Uzembe wa Sisco kaongoza mechi Toka mechi ya 3 akaanza maneno, kaja kuchomolewa mechi ya 12 kaja kapigwa chuma Cha pili tege ya kwanza tuu
Kwani hawaruhusu kuchukua videos afu mtuwekee hapa hayo mapambano Wakuu?Saa 4 asubuhi
Sisco kashindwa kuzima ufalme Ronaldo kazi imebaki Kwa Noel na Noel lazima apasuke hiyo keshoKabisa halafu Noel na Ronaldo hawa ndio derby wanajuana sana ila mm Nampa Ronaldo kutokana Noel anatoka kundi la watu huru ambapo wale ndoto yao kubwa ni kuzima ufalme wa Ronaldo na basi Ronaldo kulijua hilo huwa anacheza kwa sprit kubwa sana kama inamjenga