Mashindano ya Dunia ya Riadha yanayofanyikan Oregon Marekani na uhusika wa Tv za bongo

Mashindano ya Dunia ya Riadha yanayofanyikan Oregon Marekani na uhusika wa Tv za bongo

avogadro

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
8,082
Reaction score
14,457
Nimesikitishwa sana na kitendo cha Tv za bongo kutokuonyesha mashandano ya riadha ya kimataifa yanayofanyika nchini marekani , ambapo kwenye mashindano hayo baada ya kutafuta channel zote za Tanzania nilikosa nikafanikiwa kuyaona live kwenye channel ya Kenya iitwayo KBC

Nilishangaa kumwona kijana Mtanzania katika marathon akipambana kwenye kundi la kuongoza ( leading group) mwanzo mwisho kwenye mashindano hayo magumu yaliyokuwa yamepaniwa na manguli wa riadha duniani, ilikuwa bado kidogo tu apate medali ila alizidiwa kaufundi kidogo na kubahatika kushika nafasi ya 7 dunia nzima👏👏👏👏 tena kwa muda mzuri sana

Sasa hivi bongo limezuga gonjwa baya sana la kuambukiza na linaoua vizazi ya michezo mingine, gonjwa hilo liitwalo SOKA au kabumbu limeingia kwenye ubongo wa Watanzania hivyo kuanzia asubuhi mpaka jioni Tv zinazungumzia soka, mitaani soka, wazee soka , katoto kanazaliwa kanaanza kulazimishwa kuwa kashabiki kwa kuvalishwa jezi za soka.

Kama taifa tunaharibu, lazima tuipe kila michezo uzito unaofaa.

Taifa letu vipaji vya asili ambavyo si vya kulazimishwa ni Riadha na ndondi hii soka tunalazimisha sii asili yetu. Tukitaka bendera ya nchi yetu ipeperushwe huku wimbo wa Taifa unaimbwa tuwekeze kwenye riadha
 
Kweli bongi michezo mingi haijapewa kipaumbele kama ilivyo kwenye soka
 
Siku hizi unakuta chawa anapewa air time na media kuliko hata mwana michezo!
Kweli boss umeongea unakuta lichawa linaitisha press conference unaona mic kibao vyombo vya habari vingi lakini kinachozungumzwa ni utumbo mtupu, huku kuna vijana wazalendo wanaipeperusha bendera ya nchi nje hakuna wanaomjali
 
Nimesikitishwa sana na kitendo cha Tv za bongo kutokuonyesha mashandano ya riadha ya kimataifa yanayofanyika nchini marekani , ambapo kwenye mashindano hayo baada ya kutafuta channel zote za Tanzania nilikosa nikafanikiwa kuyaona live kwenye channel ya Kenya iitwayo KBC

Nilishangaa kumwona kijana Mtanzania katika marathon akipambana kwenye kundi la kuongoza ( leading group) mwanzo mwisho kwenye mashindano hayo magumu yaliyokuwa yamepaniwa na manguli wa riadha duniani, ilikuwa bado kidogo tu apate medali ila alizidiwa kaufundi kidogo na kubahatika kushika nafasi ya 7 dunia nzima👏👏👏👏 tena kwa muda mzuri sana

Sasa hivi bongo limezuga gonjwa baya sana la kuambukiza na linaoua vizazi ya michezo mingine, gonjwa hilo liitwalo SOKA au kabumbu limeingia kwenye ubongo wa Watanzania hivyo kuanzia asubuhi mpaka jioni Tv zinazungumzia soka, mitaani soka, wazee soka , katoto kanazaliwa kanaanza kulazimishwa kuwa kashabiki kwa kuvalishwa jezi za soka.

Kama taifa tunaharibu, lazima tuipe kila michezo uzito unaofaa.

Taifa letu vipaji vya asili ambavyo si vya kulazimishwa ni Riadha na ndondi hii soka tunalazimisha sii asili yetu. Tukitaka bendera ya nchi yetu ipeperushwe huku wimbo wa Taifa unaimbwa tuwekeze kwenye riadha
Simba na Yanga ndiyo dini za Tanzania.
 
Tatizo wachambuzi wengi wa michezo bongo ni wanajua mpira tu.
Hawajui kuhusu ngumi, mpira wa wavu, mpira wa pete, riadha n.k
Hata ukikuta wameweka hivyo vipengele kwenye vipindi vyao vya michezo basi ni kasehemu kadogo sana kwa kumalizia habari za michezo za nyumbani kabla hawajaanza kimataifa.
Geay alijitahidi sana japo yule jamaa wa Ethiopia alijua kumalizia mbio zile. Ilifikia kiasi akikata kona unaona hakuna aliye na dalili za kumkaribia.
Kongole kwa Geay, amejitahidi sana. Kwenye rank yupo nafasi ya 26 kidunia.
 
Tatizo wachambuzi wengi wa michezo bongo ni wanajua mpira tu.
Hawajui kuhusu ngumi, mpira wa wavu, mpira wa pete, riadha n.k
Hata ukikuta wameweka hivyo vipengele kwenye vipindi vyao vya michezo basi ni kasehemu kadogo sana kwa kumalizia habari za michezo za nyumbani kabla hawajaanza kimataifa.
Geay alijitahidi sana japo yule jamaa wa Ethiopia alijua kumalizia mbio zile. Ilifikia kiasi akikata kona unaona hakuna aliye na dalili za kumkaribia.
Kongole kwa Geay, amejitahidi sana. Kwenye rank yupo nafasi ya 26 kidunia.
Kuna lile jijamaa lirefu lilianza kuwachosha mwanzo mpaka yule jamaa wa ethiopia alivyochomoka ndio liliniudhi.

Kama Geay angejilipua na yeye liwalo na lile, bora afie marekani angechomoka, angeweza kapata hata mshindi wa 2bau wa 3
 
Kuna lile jijamaa lirefu lilianza kuwachosha mwanzo mpaka yule jamaa wa ethiopia alivyochomoka ndio liliniudhi.

Kama Geay angejilipua na yeye liwalo na lile, bora afie marekani angechomoka, angeweza kapata hata mshindi wa 2bau wa 3
Tumahukuru sana Mungu kwa hatua hiyo ingawa alistahili zaidi.
 
Nimesikitishwa sana na kitendo cha Tv za bongo kutokuonyesha mashandano ya riadha ya kimataifa yanayofanyika nchini marekani , ambapo kwenye mashindano hayo baada ya kutafuta channel zote za Tanzania nilikosa nikafanikiwa kuyaona live kwenye channel ya Kenya iitwayo KBC

Nilishangaa kumwona kijana Mtanzania katika marathon akipambana kwenye kundi la kuongoza ( leading group) mwanzo mwisho kwenye mashindano hayo magumu yaliyokuwa yamepaniwa na manguli wa riadha duniani, ilikuwa bado kidogo tu apate medali ila alizidiwa kaufundi kidogo na kubahatika kushika nafasi ya 7 dunia nzima[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] tena kwa muda mzuri sana

Sasa hivi bongo limezuga gonjwa baya sana la kuambukiza na linaoua vizazi ya michezo mingine, gonjwa hilo liitwalo SOKA au kabumbu limeingia kwenye ubongo wa Watanzania hivyo kuanzia asubuhi mpaka jioni Tv zinazungumzia soka, mitaani soka, wazee soka , katoto kanazaliwa kanaanza kulazimishwa kuwa kashabiki kwa kuvalishwa jezi za soka.

Kama taifa tunaharibu, lazima tuipe kila michezo uzito unaofaa.

Taifa letu vipaji vya asili ambavyo si vya kulazimishwa ni Riadha na ndondi hii soka tunalazimisha sii asili yetu. Tukitaka bendera ya nchi yetu ipeperushwe huku wimbo wa Taifa unaimbwa tuwekeze kwenye riadha
Inasikitisha, inaumiza hata kukera.
Michezo y riadha na ndondi ndiyo imeleta medali nchini humu lakini Hakuna mwendelezo na hakuna juhudi za makusudi za kuendeleza michezo nje ya soka.
Tujirudi.
 
Hongera zake bwana Geay,naona jirani zetu aliwaacha mbali!
Hawaamini
 
Inasikitisha, inaumiza hata kukera.
Michezo y riadha na ndondi ndiyo imeleta medali nchini humu lakini Hakuna mwendelezo na hakuna juhudi za makusudi za kuendeleza michezo nje ya soka.
Tujirudi.
Kuanzia asubuhi hadi jioni TV , radio, zinaongea mambo ya soka tuu, kijana wa watu amejitoa muhanga katikati ya wakenya na wa ethiopia wenye mapufu ya duma lakini hakuna promo yoyote.

KBC ni television ya taifa ya Kenya, kama mtu wao anakimbia muda wowote wanakata matangazo na kujiunga live ili wananchi wote washuhudie

Ila Tv za bongo wapo radhi kuonyesha life press conference ya manara, baba levo, mwijaku na mr. Pimbi ila mtu anayewakilisha nchi kimataifa hawana time
 
Back
Top Bottom