Yaani kama haujajiandaa...likitua lazima ulewe. Kwenye mchezo huu bila 'kudanganya mwili'...huwezi kushiriki. Kwenye clip ya post ya kwanza, jamaa anatoka damu yeye anasema ataendelea...mpaka madaktari wakamkatalia aache, sasa kama siyo kuudanganya mwili ni nini hii!!