Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja yangu ni kwamba hili ni jambo la dini na ni ukweli kwamba watu hutofautiana sana uwezo wa kiakili kuna huyu hata kama angekesha wiki nzima kichwani atatoka na zero lakini hiyo haiondoi nia yake ya kupenda dini na haimani kwamba mapenzi yake kwa dini yapo chini la hasha!! Hapo ndo uwezo wake umeishia ndipo nikasema kwa utashi wangu hizi mashindano zinabagua watu wenye uwezo wa chini kukaroriJapo suala lenyewe la mashindano ya Quran limezungumzwa na baadhi ya wanachuoni wa kiislamu kuwa halifai lakini hoja ya haina mashiko.
Kwa sababu kuhifadhi Quran ni juhudi ambazo mtu anatakiwa kuzifanya ili hiyo Quran ikae kifuani mwake, usidhani ni jambo rahisi bali kuna juhudi kubwa imefanyika.
Ishu sio kuihifadhi, ishu ni kuifanya iendelee kubaki kifuani mwako baada ya kuihifadhi maana inamponyoka mtu kirahisi sana.
Hoja yangu ni kwamba hiki kinachofanyika ni sawa na kile cha kushindanisha shule wakati hizo shule zina mazingira tofauti kabisa....kaiandika mbiombio akitoroka walinzi pale getini karibu na uwanja wa hospitali ya Mirembe wodi nambari 14 ACUTE.."
Huyo akili hamnazo....Kwahiyo hata shuleni na vyuoni kule kushindanishwa kwa kufanya debate na mitihani hakuna maana yoyote! Sikulijua hilo.
Huna akili...Hoja yangu ni kwamba hili ni jambo la dini na ni ukweli kwamba watu hutofautiana sana uwezo wa kiakili kuna huyu hata kama angekesha wiki nzima kichwani atatoka na zero lakini hiyo haiondoi nia yake ya kupenda dini na haimani kwamba mapenzi yake kwa dini yapo chini la hasha!! Hapo ndo uwezo wake umeishia ndipo nikasema kwa utashi wangu hizi mashindano zinabagua watu wenye uwezo wa chini kukarori
Ushauri wako ni nini ?!!Hoja yangu ni kwamba hiki kinachofanyika ni sawa na kile cha kushindanisha shule wakati hizo shule zina mazingira tofauti kabisa
Kwani Mungu ndo kawatuma muwashindanishe!? Yale mashindano kaandaa Mungu?!Huna akili...
Ungekuwa nazo kumuonea huruma huyo mwenye akili za chini...ungemhoji Mwenyezi Mungu ni kwanini amemuumbia AKILI ZA CHINI...
Hapo mjadala ungekuwa wa kisomi kuliko hivi ulivyoupeleka....
Kumbe ban zinasaidia, naona umenyooka now days, ulikua SchupidSijaona point ya hoja yako
Acha tu hao, Je wale wasioona (Vipofu) au Wasioweza kuongea (Mabubu) je wamewekwa kundi lipi?Mimi ninaamini katika ushindani lakini kuna mambo yanani fanya nione kuna watu kwenye hii dunia mifumo iliyopo imewatenga kabisa.
Ninachoelewa mimi suala la imani kwa Mungu ni la moyo wa mtu binafsi. Ni ngumu sana kubainisha mcha Mungu ama laa.
Kwa habari ya kuhifadhi kurani jambo kubwa linalotawala ni uwezo wa mtu kukaririshwa vitu kichwani jambo ambalo ni matokeo ya uumbaji wa Mungu.
Kwa nini uwashindanishe watu tena jambo lenyewe la dini lakini uwezo wa kuperfom unategemea Mungu majaliwa ya mola!!?
Why ufurahie kwamba nimeshinda wakati akili uliyotumia kushinda ulipewa na aliyewapa uliowashunda!?
Huu mfumo ni wa kibaguzi
Napendekeza watu washindanishwe kwenye vitu ambavyo wana fursa navyo sawa.
Soma: News Alert: - Rais Samia akishiriki tamasha la Mashindano ya Kuhifadhi Quran kwa Wanawake
[emoji2956]Acha tu hao, Je wale wasioona (Vipofu) au Wasioweza kuongea (Mabubu) je wamewekwa kundi lipi?
Si ndio Waliobaguliwa kuliko wote nao wameumbwa na Mwenyezi Mungu (S.A.W)
Mimi ninaamini katika ushindani lakini kuna mambo yanani fanya nione kuna watu kwenye hii dunia mifumo iliyopo imewatenga kabisa.
Ninachoelewa mimi suala la imani kwa Mungu ni la moyo wa mtu binafsi. Ni ngumu sana kubainisha mcha Mungu ama laa.
Kwa habari ya kuhifadhi kurani jambo kubwa linalotawala ni uwezo wa mtu kukaririshwa vitu kichwani jambo ambalo ni matokeo ya uumbaji wa Mungu.
Kwa nini uwashindanishe watu tena jambo lenyewe la dini lakini uwezo wa kuperfom unategemea Mungu majaliwa ya mola!!?
Why ufurahie kwamba nimeshinda wakati akili uliyotumia kushinda ulipewa na aliyewapa uliowashunda!?
Huu mfumo ni wa kibaguzi
Napendekeza watu washindanishwe kwenye vitu ambavyo wana fursa navyo sawa.
Soma: News Alert: - Rais Samia akishiriki tamasha la Mashindano ya Kuhifadhi Quran kwa Wanawak
Kwa ulicho kiandika imedhihirisha chuki zako binafsi dhidi ya jambo lisilo kuhusu hasa la imani tofauti na yako pia umeonesha kua wewe ni miongoni mwa wale wenye uvivu wa kufikiriKwahiyo hata shuleni na vyuoni kule kushindanishwa kwa kufanya debate na mitihani hakuna maana yoyote! Sikulijua hilo.
Mashindano haya ya Kuhifadhi Quran yaende sambamba na Mashindano ya Kuhifadhi Hisabati, Kemia, Fizikia, Baiolojia, Jiografia, n.k.Mimi ninaamini katika ushindani lakini kuna mambo yanani fanya nione kuna watu kwenye hii dunia mifumo iliyopo imewatenga kabisa.
Ninachoelewa mimi suala la imani kwa Mungu ni la moyo wa mtu binafsi. Ni ngumu sana kubainisha mcha Mungu ama laa.
Kwa habari ya kuhifadhi kurani jambo kubwa linalotawala ni uwezo wa mtu kukaririshwa vitu kichwani jambo ambalo ni matokeo ya uumbaji wa Mungu.
Kwa nini uwashindanishe watu tena jambo lenyewe la dini lakini uwezo wa kuperfom unategemea Mungu majaliwa ya mola!!?
Why ufurahie kwamba nimeshinda wakati akili uliyotumia kushinda ulipewa na aliyewapa uliowashunda!?
Huu mfumo ni wa kibaguzi
Napendekeza watu washindanishwe kwenye vitu ambavyo wana fursa navyo sawa.
Soma: News Alert: - Rais Samia akishiriki tamasha la Mashindano ya Kuhifadhi Quran kwa Wanawake
Asante kwa ushauri tunalichukulia hilo....Mashindano haya ya Kuhifadhi Quran yaende sambamba na Mashindano ya Kuhifadhi Hisabati, Kemia, Fizikia, Baiolojia, Jiografia, n.k.
HIZI NI IMANI GANI? YANI WATU WANASHINDANISHWA KUNJUA Mungu wao? SIJAELEWAMimi ninaamini katika ushindani lakini kuna mambo yanani fanya nione kuna watu kwenye hii dunia mifumo iliyopo imewatenga kabisa.
Ninachoelewa mimi suala la imani kwa Mungu ni la moyo wa mtu binafsi. Ni ngumu sana kubainisha mcha Mungu ama laa.
Kwa habari ya kuhifadhi kurani jambo kubwa linalotawala ni uwezo wa mtu kukaririshwa vitu kichwani jambo ambalo ni matokeo ya uumbaji wa Mungu.
Kwa nini uwashindanishe watu tena jambo lenyewe la dini lakini uwezo wa kuperfom unategemea Mungu majaliwa ya mola!!?
Why ufurahie kwamba nimeshinda wakati akili uliyotumia kushinda ulipewa na aliyewapa uliowashunda!?
Huu mfumo ni wa kibaguzi
Napendekeza watu washindanishwe kwenye vitu ambavyo wana fursa navyo sawa.
Soma: News Alert: - Rais Samia akishiriki tamasha la Mashindano ya Kuhifadhi Quran kwa Wanawake
Mimi ninaamini katika ushindani lakini kuna mambo yanani fanya nione kuna watu kwenye hii dunia mifumo iliyopo imewatenga kabisa.
Ninachoelewa mimi suala la imani kwa Mungu ni la moyo wa mtu binafsi. Ni ngumu sana kubainisha mcha Mungu ama laa.
Kwa habari ya kuhifadhi kurani jambo kubwa linalotawala ni uwezo wa mtu kukaririshwa vitu kichwani jambo ambalo ni matokeo ya uumbaji wa Mungu.
Kwa nini uwashindanishe watu tena jambo lenyewe la dini lakini uwezo wa kuperfom unategemea Mungu majaliwa ya mola!!?
Why ufurahie kwamba nimeshinda wakati akili uliyotumia kushinda ulipewa na aliyewapa uliowashunda!?
Huu mfumo ni wa kibaguzi
Napendekeza watu washindanishwe kwenye vitu ambavyo wana fursa navyo sawa.
Soma: News Alert: - Rais Samia akishiriki tamasha la Mashindano ya Kuhifadhi Quran kwa Wanawake
Mbona huna point dadaMimi ninaamini katika ushindani lakini kuna mambo yanani fanya nione kuna watu kwenye hii dunia mifumo iliyopo imewatenga kabisa.
Ninachoelewa mimi suala la imani kwa Mungu ni la moyo wa mtu binafsi. Ni ngumu sana kubainisha mcha Mungu ama laa.
Kwa habari ya kuhifadhi kurani jambo kubwa linalotawala ni uwezo wa mtu kukaririshwa vitu kichwani jambo ambalo ni matokeo ya uumbaji wa Mungu.
Kwa nini uwashindanishe watu tena jambo lenyewe la dini lakini uwezo wa kuperfom unategemea Mungu majaliwa ya mola!!?
Why ufurahie kwamba nimeshinda wakati akili uliyotumia kushinda ulipewa na aliyewapa uliowashunda!?
Huu mfumo ni wa kibaguzi
Napendekeza watu washindanishwe kwenye vitu ambavyo wana fursa navyo sawa.
Soma: News Alert: - Rais Samia akishiriki tamasha la Mashindano ya Kuhifadhi Quran kwa Wanawake