Weka basi tukuone murembo.. unaweza tetesha m pesa za watu zikatoa tuchenchichenchi..πMmmh maji shingoniView attachment 1585420
Weka basi tukuone murembo.. unaweza tetesha m pesa za watu zikatoa tuchenchichenchi..π
Sawa ila usiache kujichora hayo madude angalau yanakustiri inaoneInao walau yaliyomo yamo hata kama ni ni membamba lkn lkn yamo..πAaah wewe hizo mpesa tumien kwa mambo ya maana wakuu.
Anonymous hajianiki
Mmmh, hongera sanaMimi hapa mkuu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] tunanyanyasikaNitapigaje kura ilihali simjui mgombea ninayemtaka? Weka picha zao la sivyo huu ni utoto wa jamiiforums!
Wengine hapo ni mabonge wenye kilo zaidi ya 100 alafu unawaita miss
Kwanini Jane[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] tunanyanyasika
Picha si avatar za washirikiTunarudi palepale! Picha za washindani ziko wapi? Wagombea wa vyama vya siasa wenyewe picha zao zinakuwa kwenye fomu sembuse mamiss
sasa umiss bila picha haina maana mkuu....labda ungesema washindanishwe kwa kigezo kingine kama vile aliyetumika sana nkPicha zitaweka zote mshindi akishapatikana
Me huyo.
Yaani kwa akili zako haitakiwi upewe hata kura moja unatakiwa upewe kuniNaomben kula zenu kwa wingi
Ushaanza kufeli. Kula tena.Naomben kula zenu kwa wingi