Mashindano Ya Miss Jamii Forums. Hakika ni warembo

Mashindano Ya Miss Jamii Forums. Hakika ni warembo

Ila hii Jamiiforums ya hiki kizazi imepoa saana.

Hadi mods wamepoa..ban hakuna.

Vijana hamshushi nondo kwenye nyuzi...basi nikajiambia labda mnaloweza kutongozana.

Kutongozana nako hamwezi. Sasa mnaloweza ni nini nyie?

Jukwaa limepoa hata hakuna pakupumzikia.
Yaani unaweza Ukaingia jf then ukakosa topic inayokushawishi kuchangia
 
Kufuatia maoni ya wadau mbalimbali.
The Youths Forum inakuletea mashindano maalumu kwa ajili ya Walimbwende hapa hapa JAMII FORUMS..

THIS IS SEASON 1..
Unachotakiwa kufanya ni kumpigia kura mrembo/miss unayemkubali kisha kamati itakaa na kuja na mrejesho.

Mwisho wa siku waremb/miss wetu watapewa zawadi kwa washindi wa kwanza hadi wa tatu kama vile free vouchers,M-Pesa balance recharge na nyingine nyingi....

List Yetu Ina washiriki 15..
Ila unaruhusiwa kuongeza idadi ya washiriki na Ku suggest iweje..

Joanah
Depal
Chakorii
Lenie
Numbisa
CreditAnalyst
Miss Renee
lliedie
financial services
cariha
Joannah
moneytalk
Culture Me
yna2
Khantwe
FaizaFoxy
Kasie
Money Penny
Carleen
cute eyes
Saint Anne
Madame S
miss chagga
Nifah

Hapa najua mtaomba picha Ila baada ya matokeo ya jumla kutoka mtaona picha za washiriki wote.

Piga kura kwa mshiriki wako na akayepata kura nyingi ataibuka mshindi.

Kura zinapigwa kwa kutag jina la mshiriki tags nyingi zaidi ndio zitaonesha mshindi.

Pia unaweza comment kwanini umempigia kura mshiriki husika
Mkuu hii list yako haijakamilika kama huyu Goddess hayupo! Halafu Bibi Kama faiza yupo.. itakuwa umeshake ubongo wewe..😂
 
Naam kabisa mkuu haswaa kwa sisi ambao huwa tunaitimia hii platform kama sehemu ya kuondoa stress huwa hatuna namna zaidi ya kuchangia tu ... Ndio maana wengine tumekimbilia twitter
mda mwingine maisha yanahitaji relaxation mkuu, hizi ndo relaxation ambazo huondoa stress
 
Hivi wee Bwana JAJI unamuwekaje kwenye kinyang'anyiro mtu kama

Asha boko unampambanisha na Hamissa Mobetto ukitegemea Asha boko ashinde?

kwani nini maana ya Miss? maana hapo naona umechanganya vibonge/vimbaumbau/tukunyema/nk

Acha tia watu ktk majaribu na dhambi za kudhamiria,ondoa hao machineneeee bakiza Vipotable tu.
 
Kwanye hiyo list nimeona mademu wa 3,wanawake wa 5 na wasimbe 0.
 
Kwa guu hili nimeweza kuingia hapa duh
IMG_20200930_112455.jpg
 
Back
Top Bottom