Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Mashine ya kuchakata Matusi ile.Aisee kuna mtu huko mpaka kajitoa muhanga kufungua uzi wa kuiombea kura moja ya mbususu hizo. Hahaaha!
Kuwa makini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashine ya kuchakata Matusi ile.Aisee kuna mtu huko mpaka kajitoa muhanga kufungua uzi wa kuiombea kura moja ya mbususu hizo. Hahaaha!
😂😂😂😂😂 Kuna mtu inamuhusu hii.Unamaanisha kwamba?
Unajua maana ya simps?1. Una wivu.
Dhidi ya mwenye Uzi au dhidi ya "warembo".
2. Ni wewe na Simps wachache ndio mnachukulia serious, na hii ni namna yako ya harakati.
Hayo mambo si utani? Ni wewe ndio unayaita "mashindano"
Kumekuwapo na Nyuzi za aina hiyo almost kila mwezi.
Why hili?
1. Una ID yako ulitamani ipendekezwe haijapendekezwa?
2. Unataka kuonekana una busara kwenye "chit chat" ?
Nilifiri kua ungewaza nawe uende kushiriki lkn ndio kwanza huamini unachoona😆Hivi hii ishu ya mashindano ni serious?
Binafsi najua ni chit chat tu za kawaida,changamsha jukwaa...ambazo zinaibuka mara nyingi hapa jukwaani
Ila kwer maana ata ugali utakagi wwNgoja niende nikajionee huko ma miss wa JF.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nilifiri kua ungewaza nawe uende kushiriki lkn ndio kwanza huamini unachoona😆
Imeandikwa kwenye jukwaa la mahusiano, na sio chit-chats, mkuu umelewa ama?1. Una wivu.
Dhidi ya mwenye Uzi au dhidi ya "warembo".
2. Ni wewe na Simps wachache ndio mnachukulia serious, na hii ni namna yako ya harakati.
Hayo mambo si utani? Ni wewe ndio unayaita "mashindano"
Kumekuwapo na Nyuzi za aina hiyo almost kila mwezi.
Why hili?
1. Una ID yako ulitamani ipendekezwe haijapendekezwa?
2. Unataka kuonekana una busara kwenye "chit chat" ?
Kumbe Simp ni kutongoza?Unajua maana ya simps?
Nimemtongoza mtu kwenye Uzi huu?
Wivu upi , unajua shindano la U-Miss wewe?
Niambie shindano la U-Miss ambalo halina vigezo wala mchujo . Ukijibu nitakubali kuwa mimi ni simp.
Abadilishe jina , acha kutetea vitu vya ajabu.
Inabadilisha nini kuwa hilo sio shindano rasmi, ni watu tu Wameamua kupoteza mda?Imeandikwa kwenye jukwaa la mahusiano, na sio chit-chats, mkuu umelewa ama?
Simp maana yake ni nini? So wewe unaona watu wadhalilishwe kisa ujinga ujinga tu?Kumbe Simp ni kutongoza?
Hujioni unachofanya hapo.......
Wakati unatumia neno " Udhalilishwaji" na maneno kama hayo lengo lake ni nini?
Kaza mkuu !!
Kupoteza muda bila kuwa na vigezo? This is madness.Inabadilisha nini kuwa hilo sio shindano rasmi, ni watu tu Wameamua kupoteza mda?
Ina maana mpaka sasa hujaona ulipokosea?Simp maana yake ni nini? So wewe unaona watu wadhalilishwe kisa ujinga ujinga tu?
Mimi sijalamba wala kuita jina la mwanamke humu, nimesema wanawake, nimegeneralize, usimp unatoka wapi? Umeona nimequote jina la kike hapo?
Imeandikwa kwenye jukwaa la mahusiano, na sio chit-chats, mkuu umelewa ama?
"Kupoteza mda bila kuwa na Vigezo"Kupoteza muda bila kuwa na vigezo? This is madness.
Hakuna nilipokosea, . I stand for my cause.Ina maana mpaka sasa hujaona ulipokosea?
🤣🤣"Kupoteza mda bila kuwa na Vigezo"
Unasoma unachoandika kweli kabla ya kushare?
Ingia na wewe ushindaneKheeeeh kuna shindano la MISS JF 2023? mbna habari cna mie. Woiiiiiih
Sikiliza mkuu, jina ndo tatizo, haiwezekani ukaita shindano la U-Miss bila kuwa na vigezo, ni mjinga peke yake ndo hufanya hivyo. Hata kama ni utani, ni jambo ambalo haliwezekani kabisa."Kupoteza mda bila kuwa na Vigezo"
Unasoma unachoandika kweli kabla ya kushare?
Nimekuuliza unajua shindano la U-Miss? Au kusoma hujui mkuu?"Kupoteza mda bila kuwa na Vigezo"
Unasoma unachoandika kweli kabla ya kushare?
Tuanze kudefine shindano la U-Miss kwanza kabla ya kuendelea."Kupoteza mda bila kuwa na Vigezo"
Unasoma unachoandika kweli kabla ya kushare?