Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
HIi ni ya mwisho mkuu, maana kunako elekea Na mimi ntaonekana tupo sawa.Sikiliza mkuu, jina ndo tatizo, haiwezekani ukaita shindano la U-Miss bila kuwa na vigezo, ni mjinga peke yake ndo hufanya hivyo. Hata kama ni utani, ni jambo ambalo haliwezekani kabisa.
Kumbe wewe point ya mwisho ndo inakuuma, kaka , inaonekana wanawake walikuumiza mno. Hata kama wanawake wanaumiza wanaume kwenye mahusiano, haimaanishi uanze kuwasengeny'a na kuwadhalilisha, be a man bro, unamove on maisha yanaendelea. Ni kweli siwezi mpangia mtu cha kuandika, wao wanatumia uhuru wao na mimi nimetumia uhuru wangu kupinga, kosa liko wapi?HIi ni ya mwisho mkuu, maana kunako elekea Na mimi ntaonekana tupo sawa.
Huwezi kuwapangia watu namna ya kufurahi humu Ndani, mradi tu wanafuata Sheria za JF.
Pretending like unawaonea huruma wanawake wanadhalilishwa haitosaidia Chochote.
Ahsante !!
Aliyeanzisha ile thread alizingua. Na wewe uliyemjibu ndio umezingua kabisaaaNimeona kuna mashindano ya MissJF 2023, ilikuwa wazo zuri ila lina ubatili mtupu. Naona kama mbinu nyingine ya udhalilishaji mkubwa wa wanawake unaofanyika jukwaani kila iitwapo leo. Sababu za kuiita mashindano haya kuwa ni "ubatili" mtupu ni kama ifuatavyo.
Mashindano haya hayana vigezo: Mashindano yoyote ni lazima kuwe na vigezo kwa washiriki wote ili kura zipigwe kwa haki na kigezo kisiwe kimoja, mashindano haya hayana kigezo chochote cha maana na kama mnavyojua mashindano ya U-Miss ni lazima kuwe na vigezo kwa washiriki wote ili Haki itendeke kwa washiriki wote.
Upendeleo kwa washiriki: Katika mashindano haya ambayo yameanzishwa kwa wazo la mtu mmoja tu, kumekuwa na upendeleo mkubwa sana, kuna baadhi ya watu hawajashirikishwa katika mashindano haya , na kuwafanya wahisi kutengwa na kufanya kuwa mashindano ambayo yana interests za upande mmoja wa shilingi.
Hakuna mchujo, ni mashindano ya kukurupuka: Kwa mara ya kwanza tunashuhudia mashindano yasiyokuwa na mchujo hasahasa mashindano ya U-Miss ambayo yana heshima kubwa sio tu nchini bali duniani. Mwandaaji wa shindano hili alikurupuka tu na kuwaza kuweka mashindano ambayo hayana mchujo, ametumia hisia zaidi kuliko ufahamu, mashindano haya yalipaswa kufanya muda mrefu sana yakiwa na mchujo mkali ili mshindi halali apatikane.
Mashindano haya kuna uwezekano wa nia ya kufichua identities za watu: Sijajua lakini ila naona ina mwelekeo huo. Maana baadaye utasikia watataka picha wakati hii ni platform ambayo inaficha privacy ya mtu.
Udhalilishaji kwa wanawake: kutokana na kuanzishwa kwa mashindano haya, kuna baadhi ya wanajamvi wameanza kuwadhalilisha washiriki kwa maneno yao , jambo ambalo si nzuri, tumeona nyuzi nyingi zikidhalilisha utu wa wanawake na wala hazichukuliwi hatua.
Mwisho mashindano haya yako one sided(upande mmoja), vigezo havipo na imeanzishwa kihisia zaidi pasipo na matumizi ya akili. Niishie hapo.
Yale sio mashindano broh, ni proposal. List ndeefu, ila mlengwa ni mmoja 😅Ni wehu tu wanaoweza kuchulia siriazi hilo shindano
Mlengwa mwenyewe si ajabu ni kidume 😂Yale sio mashindano broh, ni proposal. List ndeefu, ila mlengwa ni mmoja 😅
Itakuwa anawajuaMlengwa mwenyewe si ajabu ni kidume 😂
.....na mimi nilifikiri hivyo sasa sijui shida ni nini, ila kama yana userious kiasi hiki basi mtoa mada yupo sahihi kiasi fulani.....Hivi hii ishu ya mashindano ni serious?
Binafsi najua ni chit chat tu za kawaida,changamsha jukwaa...ambazo zinaibuka mara nyingi hapa jukwaani
Ulimwengu wa fake ID's, hata akiweka picha kuna wengine wana sura 7 tofauti.Itakuwa anawajua
Ni mashindano yanayohusu wanawake sasa wewe mjuba unataka uwe na habari kwa ajili ya nini? Haupo kwenye nomination. Nyie mtawekewa mashindano yenu pamoja na Mabusu Mpwayungu Village na BICHWA KOMWE - .😄😁😆😀🤣😅Kheeeeh kuna shindano la MISS JF 2023? mbna habari cna mie. Woiiiiiih
Kila la kheri kwao. Acha vijana wafurahie holiday vizuriUlimwengu wa fake ID's, hata akiweka picha kuna wengine wana sura 7 tofauti.
Ngoja tuone mtibeli atampa mshindi kitu ganKila la kheri kwao. Acha vijana wafurahie holiday vizuri
KwerHata ingekuwa ni ya ukweli nisingewaza kushiriki
Sipendi kuanzishiwa uzi aseee 😃