daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Nlitaman nione alivotuabisha .Tuliingia katika uogeleaji na hatukufika mbali
tuanze kuwekeza kwenye facility za michezo. ikiwezekana mashuleni.Habari wapenda michezo
Nimefuatilia michezo ya olimpiki France 2024, naona kuna michezo mingi sana. Najiuliza kwa nini Tanzania hatupeleki washiriki kwenye michezo kama kuruka juu na chini, kurusha mkuki, kurusha tufe, ambayo sioni kama inahitaji vipaji sana. Kuna mchezo wa kutembea tu
training ya muda gani?Haka ka nchi kanausela mwingi wakuu, imagine kurusha disc inahitaji kipaji Gani kama sio bahati tu na nguvu zako.
Mchezo wa kuruka Wala sio kipaji kile ni anatafutwa Mtu mwenyw phisikia ya namna hio anapewa training anakiwasha.
Kuna michezo mingine haihitaji gharama kubwa za maandalizi. Imagine mchezo wa kutembea,tuanze kuwekeza kwenye facility za michezo. ikiwezekana mashuleni.
we unadhani ni simple?Kuna michezo mingine haihitaji gharama kubwa za maandalizi. Imagine mchezo wa kutembea,
Nimeifuatilia woman and man walking 20km aisee sio nyepesi kama wanavyoiona.. nahisi kama sio mzoefu miguu lazima iume haswa nyayo, kuna walioshindwa kumalizawe unadhani ni simple?
next olympic nitashiriki kwenye hiki kipengele cha kutembeaNimeifuatilia woman and man walking 20km aisee sio nyepesi kama wanavyoiona.. nahisi kama sio mzoefu miguu lazima iume haswa nyayo, kuna walioshindwa kumaliza
mkuu waafrica sisi kutwa huwa tunajisifu tunanguvu, lakini hata kwenye michezo hiyo ya nguvu huwaga hatuonekani.Nimeifuatilia woman and man walking 20km aisee sio nyepesi kama wanavyoiona.. nahisi kama sio mzoefu miguu lazima iume haswa nyayo, kuna walioshindwa kumaliza
Sio tu wamo, jamaa ameondoka kabisa na medali ya dhahabuHad Uganda wamo .
Tena 10,000m na ukifuatilia historia yake ana medals kadhaa na anatokea familia ya kawaidaSio tu wamo, jamaa ameondoka kabisa na medali ya dhahabu