Mashindano ya Olimpiki Ufaransa 2024

Mashindano ya Olimpiki Ufaransa 2024

Mliona timu ya South Sudan almanusura iwapige timu ya Marekani kwenye basketball? Gem ya kwanza walitoka 100 kwa 101, gemu ya pili ndio Marekani aliwapiga 106 kwa 84.

South Sudan wana timu bomba sana ya basketball.
 
Tanzania hatujawahi kuwa serious na michezo kuifanya kuwa kama ajira. Hao unawaona wanashindana wamepita kwenye mikono mingi kuhifikia hapo.

Sasa nini tufanye, lazima uwe na facilty viwanja vya kufanyia mazoezi viwanja bora na vifaa bora.

Tungeanza mashuleni kufanya sehemu ya elimu kwa maana shule lazima iwe na facility ya michezo.

Mashindano ya mashule ingerudishwa kwa nguvu michezo yote na kuwe na ufuatiliaji wa vipaji.

Haya yote yanawezekana kama tuko tayari ku invest.
 
Tanzania hatujawahi kuwa serious na michezo kuifanya kuwa kama . Tungeanza mashuleni kufanya sehemu ya elimu kwa maana shule lazima iwe na facility ya michezo. Mashindano ya mashule ingerudishwa kwa nguvu michezo yote na kuwe na ufuatiliaji wa vipaji. Haya yote yanawezekana kama tuko tayari ku invest.
Haya yanawezekana kabisa kufanyika tena endapo tu kama tungekuwa na working government with minimal corruption itches plus watu wenye maono.

Ukienda Uganda wizara yao ya michezo huwa inachukua angalau 15% ya bajeti ya taifa na pesa yote hiyo inaenda kwenye michezo hususani mashuleni na vyuoni kwa maana ya kuboresha miundo mbinu pamoja na kufadhiri mashindano mbalu mbali....

...na wako serious kabisa kwenye utekelezaji na imewasaidia pakubwa sana leo hii wana wanamichezo wengi sana wanaonendesha maisha yao kupitia michezo.

wana wachezaji professional mpaka wa Rugby, cricket, handball etc.

Uganda sekta ya michezo ni moja ya sekta iliyozalisha ajira nyingi sana kutokana na userious walionao.

Njoo kwetu sasa hapa kwanza waliokabidhiwa kuendesha sekata ya michezo sio wana michezo na hata hiyo nafasi wameipata kutokana na sababu za kisiasa na wako pale kuitumia sekta ya michezo kwa ajili ya kulinda na kuboresha maslahi ya kisiasa uhususani kwa mtu aliyewateua na ndio maana sekta imedumaa na hata ukiona mwanamichezo kapiga hatua ujue 100% ni juhudi zake mwenyewe ambapo na yeye awe tayari kutumiwa kisiasa, yaaani ni ovyoo ovyoo mpaka kichefu chefu.
 
Haya yanawezekana kabisa kufanyika tena endapo tu kama tungekuwa na working government with minimal corruption itches plus watu wenye maono.

Ukienda Uganda wizara yao ya michezo huwa inachukua angalau 15% ya bajeti ya taifa na pesa yote hiyo inaenda kwenye michezo hususani mashuleni na vyuoni kwa maana ya kuboresha miundo mbinu pamoja na kufadhiri mashindano mbalu mbali....

...na wako serious kabisa kwenye utekelezaji na imewasaidia pakubwa sana leo hii wana wanamichezo wengi sana wanaonendesha maisha yao kupitia michezo. wana wachezaji professional mpaka wa Rugby,cricket,handball etc.

Uganda sekta ya michezo ni moja ya sekta iliyozalisha ajira nyingi sana kutokana na userious walionao.

Njoo kwetu sasa hapa kwanza waliokabidhiwa kuendesha sekata ya michezo sio wana michezo na hata hiyo nafasi wameipata kutokana na sababu za kisiasa na wako pale kuitumia sekta ya michezo kwa ajili ya kulinda na kuboresha maslahi ya kisiasa uhususani kwa mtu aliyewateua.. na ndio maana sekta imedumaa na hata ukiona mwanamichezo kapiga hatua ujue 100% ni juhudi zake mwenyewe.. ambapo na yeye awe tayari kutumiwa kisiasa, yaaani ni ovyoo ovyoo mpaka kichefu chefu.
naam mkuu hawa wenzetu michezo mingi wengi wanaicheza kuanzia ngazi ya shule huko, na hii huwa tunashuhudia hata kwenye hizi movies zao
 
Najiuliza kwa nini Tanzania hatupeleki washiriki kwenye michezo kama kuruka juu na chini, kurusha mkuki, kurusha tufe, ambayo sioni kama inahitaji vipaji sana. Kuna mchezo wa kutembea tu

Mosi, washiriki Olympics wanaenda huko baada ya kupitia qualifications/trials na kufikia muda au qualification fulani...

Pili, Tanzania si nchi yenye watu serious hivyo kama ilivyo ada hakuna mtu hata anajali labda miaka kadhaa awe mmoja wa washiriki imagine watu wanaokojoa kwenye kadamnasi watakuwa wapi na akili ya kutamano kushiriki kwenye vitu serious!
 
Yeah mkuu, top 5. Namuona Mmoroco, Rwanda, na Uganda.

Wale jamaa wanaendaga butiama kwa baiskeli wapambane
Ila haya hii ya kuendesha baiskeli huna mazoezi ya nguvu aisee unashindwa, kilometa zote hizo unapiga pedo tuu lazima mapaja na miguu iitikie
 
Back
Top Bottom