daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
- Thread starter
- #161
Ni miaka minne ijayo. Anza mazoezi sasautaratibu ukoje endapo mwakani nataka kushiriki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni miaka minne ijayo. Anza mazoezi sasautaratibu ukoje endapo mwakani nataka kushiriki?
Mi.situmii huo ugonjwa azam ni uti suguuWatu mnaotumia azam mnatakaga vitu vikubwa kwa bei ndogo
mimi ni team startimes kiroho safiMi.situmii huo ugonjwa azam ni uti suguu
Wame tuachia tuwaburudishe na wanavyo mwaga mpunga kwenye michezo kwa ujumla ndio kabisaaUbaguzi wa wazungu kwa mwafrika ni maisha mengine ila kwenye riadha na mziki aaah wanaona ni wa kwao
Viwanja vingi vya mashuleni vimeuzwa na viongozi wenye tamaatuanze kuwekeza kwenye facility za michezo. ikiwezekana mashuleni.
Sasa startimes nilikuwa nayo 2017 hadi majuzi kweli ni ya wazee na watoto inamakatuni hadi basimimi ni team startimes kiroho safi
Why wameidsqualify??kenya gold 5000m, medali ya silver ya kenya wameidisqualify
naangalizia itv na tbc habari. zuri wa watu wa startimes hutosikia tukicomment tofauti na wale wa azamSasa startimes nilikuwa nayo 2017 hadi majuzi kweli ni ya wazee na watoto inamakatuni hadi basi
World record aiseeMsweeden kwenye kuruka 🫡
ngoja, napandisha clipWhy wameidsqualify??
Mchezo usio kua wa kiuungwana...alimvuta mkimbiaji wa ethiopia wakat wanakaribia kumaliza mbio.Why wameidsqualify??
ngoja, napandisha clip
HaswaWame tuachia tuwaburudishe na wanavyo mwaga mpunga kwenye michezo kwa ujumla ndio kabisaa
Jomba hata mazoezi ya kutembea ni magumu kuliko kukimbia kwasababu yanaleta injuries kirahisi sana kwenye nyayo. Kwahiyo usione watu wanashindana kutembea ukadhani ni rahisi. Walking race inaogopwa hata na wanariadha.Habari wapenda michezo,
Nimefuatilia michezo ya olimpiki France 2024, naona kuna michezo mingi sana. Najiuliza kwa nini Tanzania hatupeleki washiriki kwenye michezo kama kuruka juu na chini, kurusha mkuki, kurusha tufe, ambayo sioni kama inahitaji vipaji sana. Kuna mchezo wa kutembea tu
Soma pia: Watanzania 7 kupeperusha Bendera ya Tanzania katika Olimpiki 2024 huko Paris
Huo mchezo sio mrahisi kama unavyodhani.Kuna michezo mingine haihitaji gharama kubwa za maandalizi. Imagine mchezo wa kutembea,
View: https://x.com/LarryMadowo/status/1820549664107860254
tukio ni lilikua hilo
kuna report zinasema anaweza rudishiwa medali yake