Pima oik kama imoKitaalamu wanasema kula mwanaume asubuhi akiamka lazima mashine iwe imedisa!!!
Sasa kwangu Leo ni too much tangu naamka hadi sasa haijalala bado naona shida sana.
Nimejaribu hadi kujing'ata ili nipate maumivu lakini ngoma bado imo,nashindwa kuamka kuendelea na mambo yangu hadi nimesingizia naumwa.
Nifanyaje mzigo utulie?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fikiria mambo ya kisiasa yanavyoendelea nchini kwa muda wa dakika kumi na hali ya uchumi kwa sasa!
Hali ikiendelea nitafute nikuelekeze kivingine.
🤣🤣🤣Angalia utakuwa umegeuza boksa au chupi uliyovaa, bila shaka mashine itakuwa inanusa harufu ya kalio.