Mashine imegoma kusimama siku ya tatu, naombeni ushauri

Mashine imegoma kusimama siku ya tatu, naombeni ushauri

Wakuu nitawasalimia nikimaliza matatizo yangu
Ni hivi hapo majuzi nilipata mwamamke mkubwa kiumri kanizidi kama miaka 11, mimi nina 32. Nimechakatana nae vizuri na kweli mmama kaelewa show. Sasa tatizo lilianza baada ya siki kadhaa akawa muda wote anataka kuzagamuana na kila mzagamuo ni raundi 3 kwenda mbele. Ile hali ikanipelekea kukosa stamina nikaanza kumkwepa.

Baada ya kama wiki hivi akanitumia sms akaniambia si ninajifanya najidai na boro langu basi nitaona. Nikapuuzia nikajua mbwembwe tu za kukosa kikunio.
Sasa juzi nikapata kamwanamke fulani kazuri kweli, kuingia nae lodge ile nataka kuanza kumshikashika mara kuingiza mpini ghafla abdala kichwa wazi akalala mazima, pambana sana wapi. Nikaona labda leo hali ya hewa sio nzuri maana kulikuwa na kamvua, tukaghairi show.

Sasa tatizo limekuwa kubwa baada ya jana kupata dem mwingine mwanafunzi wa chuo, nikampeleka ghetto, piga sana finger lamba lips mpaka mtoto akataka mic atume salam, kumpa mic sauti haitoi yaani mashine imelala kabisa kama niko kwenye interview. Hapo ndio nikakumbuka maneno ya yule mmama. Sasa naombeni ushauri wakuu nisaidieni nifanye nini mashine haitaki kuwaka hata dalili haina.

Nawasalimu kwa jina la jf.
Usivae chupi za kubana/Mashine inataka hewa
 
Wakuu nitawasalimia nikimaliza matatizo yangu
Ni hivi hapo majuzi nilipata mwamamke mkubwa kiumri kanizidi kama miaka 11, mimi nina 32. Nimechakatana nae vizuri na kweli mmama kaelewa show. Sasa tatizo lilianza baada ya siki kadhaa akawa muda wote anataka kuzagamuana na kila mzagamuo ni raundi 3 kwenda mbele. Ile hali ikanipelekea kukosa stamina nikaanza kumkwepa.

Baada ya kama wiki hivi akanitumia sms akaniambia si ninajifanya najidai na boro langu basi nitaona. Nikapuuzia nikajua mbwembwe tu za kukosa kikunio.
Sasa juzi nikapata kamwanamke fulani kazuri kweli, kuingia nae lodge ile nataka kuanza kumshikashika mara kuingiza mpini ghafla abdala kichwa wazi akalala mazima, pambana sana wapi. Nikaona labda leo hali ya hewa sio nzuri maana kulikuwa na kamvua, tukaghairi show.

Sasa tatizo limekuwa kubwa baada ya jana kupata dem mwingine mwanafunzi wa chuo, nikampeleka ghetto, piga sana finger lamba lips mpaka mtoto akataka mic atume salam, kumpa mic sauti haitoi yaani mashine imelala kabisa kama niko kwenye interview. Hapo ndio nikakumbuka maneno ya yule mmama. Sasa naombeni ushauri wakuu nisaidieni nifanye nini mashine haitaki kuwaka hata dalili haina.

Nawasalimu kwa jina la jf.
Pole. Hapo kawaone wazee wajuzi wa mambo
 
Wakuu nitawasalimia nikimaliza matatizo yangu
Ni hivi hapo majuzi nilipata mwamamke mkubwa kiumri kanizidi kama miaka 11, mimi nina 32. Nimechakatana nae vizuri na kweli mmama kaelewa show. Sasa tatizo lilianza baada ya siki kadhaa akawa muda wote anataka kuzagamuana na kila mzagamuo ni raundi 3 kwenda mbele. Ile hali ikanipelekea kukosa stamina nikaanza kumkwepa.

Baada ya kama wiki hivi akanitumia sms akaniambia si ninajifanya najidai na boro langu basi nitaona. Nikapuuzia nikajua mbwembwe tu za kukosa kikunio.
Sasa juzi nikapata kamwanamke fulani kazuri kweli, kuingia nae lodge ile nataka kuanza kumshikashika mara kuingiza mpini ghafla abdala kichwa wazi akalala mazima, pambana sana wapi. Nikaona labda leo hali ya hewa sio nzuri maana kulikuwa na kamvua, tukaghairi show.

Sasa tatizo limekuwa kubwa baada ya jana kupata dem mwingine mwanafunzi wa chuo, nikampeleka ghetto, piga sana finger lamba lips mpaka mtoto akataka mic atume salam, kumpa mic sauti haitoi yaani mashine imelala kabisa kama niko kwenye interview. Hapo ndio nikakumbuka maneno ya yule mmama. Sasa naombeni ushauri wakuu nisaidieni nifanye nini mashine haitaki kuwaka hata dalili haina.

Nawasalimu kwa jina la jf.
Kazi iendeleeeeee pole chief kwa habari hiyo ushayatimba ulimruhusu akufute kwa kitambaa chake kaondoka nacho kakifanyia maudove hivyo unanjia mbili ya kwenda kumuangukia nakuomba msamaha au uende katka maombi ufunguliwee
 
Paka pilipili manga kwenye hiyo kichwa ya mbo*
Akikisha unajipaka Kwa ulimi wko.
Dkk mbili tu itasimama Dede.
 
Delta 2 do you copy....code red we've been hit..man down
 
Back
Top Bottom