Mashine ya bonanza maarufu kama dubuli inaharibu Sarafu za 200, BoT ingilieni kati

Katika 60,000 yako 9000. Umeme juu yako, kulilinda juu yako. Ikitokea kakuta 50,000 anaondoka nayo na wewe wiki hiyo kamishen inakua imekata
[emoji87][emoji87][emoji87]
 
Haukuwa senta ndio mana sasa hivi yanawekwa sana sehem zenye watu wengi
muda wa kulifungua ni saa 10 na kufunga saa 5. Mimi nilikua barabarani kwahiyo hata kujiiba kufungua na kufunga haiwezekani.
 
Hao BOT warekebshe tu hizo coin zao maana ukiondoa dubwi

hata ukiweka hzo coin kwenye kibubu utakuja kuzikuta zipo flat

na ubaya n kwamba hata bank hawazipokei,ki ufup hzi coin sjui

wamezitengeneza na mabati ya kitu gani sio kwa u soft huu.,kitu sh 100 bana 🕺
 
Umenichekesha sana mkuu,[emoji16][emoji16][emoji16]
1. Usiwalaumu wachina kutumia hizo mia mbili, wala hakuleti madhara yoyote

2. Inavyoonekana umeliwa pesa ya kulipia pango sasa umeshikishwa adabu na kamali

3. Usiilaumu bonanza au wachina ilaumu Bahati yako, mwisho hakuna pesa inayopatikana kiurahisi mkuu


PIGA KAZI ACHA UZUZU[emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…