Thomas george Ndaki
Member
- Apr 30, 2018
- 9
- 4
Sasa mbona umeweka picha ya Bajaji?Kuna mashine ya juice ya miwa inauzwa ipo dsm inatumia generator hvyo haiitaji umeme kuoperate inafanya Kaz popote kwa 1300000 tu imetumika kwa miez 3 namba 0743514463
Mm nahama dsm thus y nauza
Nimeichukua kkoo ni nzurii inaoperate bila shida pia bei inazungumizkambona bei sana mkuu,maana watu wa kariakoo wameshusha bei,wanauza 1.2mpyaa.hiyo umechukua eneo ganiii maana huenda hata ubora unatofautiana
Nimeichukua kkoo ni nzurii inaoperate bila shida pia bei inazungumizkambona bei sana mkuu,maana watu wa kariakoo wameshusha bei,wanauza 1.2mpyaa.hiyo umechukua eneo ganiii maana huenda hata ubora unatofautiana