Mashine ya kukamata wezi

Mashine ya kukamata wezi

Calnde

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2008
Posts
1,373
Reaction score
278
Iligunduliwa machine ya kukamata wezi huko Marekani na kupelekwa nchi mbalimbali kwa majaribio.China baada ya dk 5 watu 10 walikamatwa ,Kenya baada ya dk 5 watu 50 walikamatwa,South Africa baada ya dk 5 watu 100 walikamatwa.Ilipofikishwa Tanzania baada ya dakika tano mashine yenyewe iliibwa!
 
ahahahahahah... am surprised haikuibwa kenya duh!
 
Back
Top Bottom