umwagiliaji unategemea sana aina ya udongo na aina ya zao unalolima kwa hyo tafta mm ni mtaalamu wa umwagiliaji (irrigation enginerr nichek 0763347985 naweza kukusaidia)Ahsante sana .....hii ndo mara ya kwanza na je naanza kumwagilia baada ya mda gani?????
lakini ni efficient than sprinklerJamani tusipende kukariri theories. Ni kweli sprinkler sio nzuri compare na drip irrigation. Lakini wenzetu wenye mashamba makubwa katika nchi zilizoendelea hawatumii drip irrigation maana inakuwa soo expensive compare na sprinkler.
si kweli, sio lazima umwagilie asubuhi na jioni! nadhani ni jinsi ya kudeal na crop water requirement na evapotransipiration.Sprinkler inatumika vizuri kama utafata taratibu za kiutaharamu. Mi sio mtaharamu wa kilimo, lakini moja ya utaharam wa kutumia sprinkler ni unabidi umwagilizie asubuhi na sio jioni.
unasemea vipi mvua ikiwa inanyesha, je maji hayabaki kwenye majani?Unapomwagilizia asubuh jua linapowaka ule unyevunyevu unakauka kutoka kwenye majani ya mimea na hata unapungua kwenye udongo. Ukimwagilizia jioni kwa sprinkler ule unyevu hukaa mpaka next suny day ambyo husababisha risk kubwa sa kusambaa kwa magonjwa.
hii bado haipingani na ukweli kwamba drip irrigation ndio the best. karibuKumbuka drip irrigation orgin yake ni Israel ambapo hwana maji ya kutosha kwa kilimo. So ili kupunguza matumizi ya maji ndyomaana wakaja na iyo drip irrigation. Ila katika nchi kama USA, China etc kilimo kikubwa wanatumia sprinklers..
ndugu kwa ushauri tu, kama unauwezo tumia drip irrigation, kwa mazao kama hayo ni vyema ukaweka drip kuliko sprinkler japo zote ni the best ila drip iko vizuri zaidi.Wadau nalima tikiti maji kanda ya ziwa..ziwani kabisa nategemea kiwe cha umwagiliaji ....heka tatu...changamoto iliyopo namwagiliaje ....water pump ya kawaida naona itakuwa kazi sana.....nimewaza ile ya kurusha maji juu.....sijui nko sawa na kama nko sawa naipataje na bei yake je....au kama kuna wazo jingine jinsi ya kumwagilia ....nategemea kupanda mbegu week hii....
Mkuu nahis ni lazima kutandaza pipe kwa kila tuta na tundu kwa kila mche.Matone (drip irrigation) inasaidia sana kubana matumizi ya maji. Pia, kama hakuna mvua ina maana majani hayataota hovyo shambani mwako utakuwa umepunguza tatizo la kupalilia mara kwa mara. Hii ni kwa sababu matone yanadondokea kwenye shina tuu na unyevu hauendi mbali.
Lingine ni kama alivyozungumza mdau kwamba sprinkler inasababisha magonjwa kwenye majani na matunda.
Mkuu nahis ni lazima kutandaza pipe kwa kila tuta na tundu kwa kila mche.
Garama ya hizo pipe ikoje?
Sprinkler ya nusu inch ni 20,000/ na robo tatu inch ni 23,000/=hapo ni lazima upate na plug na garden hose yenye kipenyo sawa na Sprinkler yakoSprinkler kati 10,000 na 20,000. Jitahidi utengeneze mfumo wa umwagiliaji wa matone baada ya kukuza mtaji.
Kwa sasa Hongera sana.
More grease to your elbows
Inaitwa SprinklerWadau nalima tikiti maji kanda ya ziwa..ziwani kabisa nategemea kiwe cha umwagiliaji ....heka tatu...changamoto iliyopo namwagiliaje ....water pump ya kawaida naona itakuwa kazi sana.....nimewaza ile ya kurusha maji juu.....sijui nko sawa na kama nko sawa naipataje na bei yake je....au kama kuna wazo jingine jinsi ya kumwagilia ....nategemea kupanda mbegu week hii....
Ulifikia wapi mkuu ? Ulitumia njia gani na mafanikio ya hiyo njia yalikuwaje ?Wadau nalima tikiti maji kanda ya ziwa..ziwani kabisa nategemea kiwe cha umwagiliaji ....heka tatu...changamoto iliyopo namwagiliaje ....water pump ya kawaida naona itakuwa kazi sana.....nimewaza ile ya kurusha maji juu.....sijui nko sawa na kama nko sawa naipataje na bei yake je....au kama kuna wazo jingine jinsi ya kumwagilia ....nategemea kupanda mbegu week hii....
Tutashukuru kwa uzoefu wako. Ukipost naomba unitag.Daaa nkipata muda nitaandika.
Nimeusoma huu uzi leo jan2021. Nikuombe utupe mrejesho basi tunaotaka kuanza kilimo cha umwagiliaji tupate picha. AsanteDaaa nkipata muda nitaandika.
tatizo mtaji, niliuliza sehem nikaambiwa eka moja milioni tatuSikushauri kurusha maji juu. Njia bora ni kutumia matone. Unakuwa na chanzo nchako cha maji, unavuta maji kwa pampu alafu unasambaza kwa kutumia mabomba madogo yenye matundu madogo ambayo yatatoa matone ya maji kwenye mashina ya miche tuu.
tatizo mtaji, niliuliza sehem nikaambiwa eka moja milioni tatu
Mkuu kama una hela tafuta solar water pump kampuni ipo iringa kuanzia m1 utapata ndogo. Tuendane na teknolojia hio sprinkler ingia madukani ila kwa water pump utaingiliwa vinginevyo uwe na tangi la majiWadau nalima tikiti maji kanda ya ziwa, ziwani kabisa.
Nategemea kiwe cha umwagiliaji heka tatu. Changamoto iliyopo namwagiliaje? Water pump ya kawaida naona itakuwa kazi sana.
Nimewaza ile ya kurusha maji juu. Sijui nko sawa na kama nko sawa, naipataje na bei yake je? Au kama kuna wazo jingine jinsi ya kumwagilia.
Nategemea kupanda mbegu week hii.