Mashine ya kumwagilia isiyotumia umeme

Mashine ya kumwagilia isiyotumia umeme

Vp inafaa kwa kisima kirefu kiasi??
Niliyonayo inaweza kulift maji hadi 28m so nadhan kama kisima sio kirefu inaweza kufaa pia.
47ab9267b547dfd3b9845de21f94a654.jpg
 
Tuna mashine ya Windmill water pump, itakusaidia sanaa. Sema garama yake nikubwa sanaaa..
 
Tuna mashine ya Windmill water pump, itakusaidia sanaa. Sema garama yake nikubwa sanaaa..
Mnatengeneza wenyewe au ni ya kutoka nje.Mnayo inayoweza kuvuta maji kutoka kisima chenye urefu wa zaidi ya mita 100 na inavuta maji kiasi gani kwa litter kwa upepo wa 5m/s
 
Mnatengeneza wenyewe au ni ya kutoka nje.Mnayo inayoweza kuvuta maji kutoka kisima chenye urefu wa zaidi ya mita 100 na inavuta maji kiasi gani kwa litter kwa upepo wa 5m/s
Nasubiri jibu
 
Niliyonayo inaweza kulift maji hadi 28m so nadhan kama kisima sio kirefu inaweza kufaa pia.
47ab9267b547dfd3b9845de21f94a654.jpg
Mkuu hii kuiagiza mpka kuitoa bandari ilikugharimu hyo 700 ama ilikua zaidi? Na je control yake inakuja nayo ama? Na inaitwaje?

Swali jingie je submisible water pumps ndo hizo solar water pumps manake mie nahitaj lakni kila nikitembea kutafuta madukan na mtandaoni nakutana na submisible water pumps lakn madukani ya hapa bongo ni bei ghali sana msaada wako mkuu tafadhal
 
Mkuu hii kuiagiza mpka kuitoa bandari ilikugharimu hyo 700 ama ilikua zaidi? Na je control yake inakuja nayo ama??
Na inaitwaje? Swali jingie je submisible water pumps ndo hizo solar water pumps manake mie nahitaj lakni kila nikitembea kutafuta madukan na mtandaoni nakutana na submisible water pumps lakn madukani ya hapa bongo ni bei ghali sana msaada wako mkuu tafadhal
Pump yakutumia SOLAR ni GHALI sana ikiwa unataka kutumia Pump sehemu hakuna Umeme nunua Generator... itakufaa Vinginevyo utataabika tu na Mambo za Solar
 
Kama upo karibu na chanzo cha maji. Agiza mashine ya solar toka china. Max ni 700000 mpaka inafika. Solar panel yake ni 120w inatosha kumwagilizia zaidi ya ekar 4 kwa siku. Mimi ninayo moja natumia.
Pls naomba utume picha ya pump yako uliyofunga na unatumia
 
Mkuu mashine yako ilikuja na solar pannel pamoja na betry au navyo ulinunua kivingine...na gharama yake ilikua shingapi?
Kama upo karibu na chanzo cha maji. Agiza mashine ya solar toka china. Max ni 700000 mpaka inafika. Solar panel yake ni 120w inatosha kumwagilizia zaidi ya ekar 4 kwa siku. Mimi ninayo moja natumia.
 
Nimevutiwa na hyo pump ya money maker i wish kuinunua cnc natamani kufanya mazoezi na muda sina mm ntakua na nyonga wife amwagilie nipate kapicha kake basi
 
Kama upo karibu na chanzo cha maji. Agiza mashine ya solar toka china. Max ni 700000 mpaka inafika. Solar panel yake ni 120w inatosha kumwagilizia zaidi ya ekar 4 kwa siku. Mimi ninayo moja natumia.
Mfumo mzima wa umwagiliziaji unahitaji vifaa gani? Unaweza kuviorodhesha hapa Boss?
 
Solar water pump ndiyo suluhisho bora kwa kilimo cha umwagiliaji kuliko generator ya kutumia mafuta.
Mkuu unaweza kuorodhesha "accessories" zote zilizopo kwenye huo mfumo wa umwagiliaji kwa kutumia umeme wa jua, pamoja na gharama zake kwa sasa?
 
ok.. je hiyo pump ya petrol ina tija maana ni bustani kwa ajili ya biashara.. je gharama yake ya kuinunua na utumiaji wake wa mafuta ukoje?
Kipenyo cha nchi 3 ni 350,000/ mpira wa 100 metres ni 180,000/ koromeo ni 18,000/mashine ni utunzaji sako.
 
Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
 
Back
Top Bottom