Mashine ya kumwagilia ya gesi na petroli (water pump)

Mashine ya kumwagilia ya gesi na petroli (water pump)

sir ide

Senior Member
Joined
Apr 10, 2020
Posts
115
Reaction score
170
Habarini wana jamvi, natafuta mashine ya kumwagilia water pump, inayotumia mafuta na petroli, (IWE MPYA)

Kwa mwenye nayo au anafahamu wapi naweza pata, naomba an pm natanguliza shukrani
 
Habarini wana jamvi, natafuta mashine ya kumwagilia water pump, inayotumia mafuta na petroli, (IWE MPYA)

Kwa mwenye nayo au anafahamu wapi naweza pata, naomba an pm natanguliza shukrani
Hujaeleza bajeti yako ya pump na details za shamba lako. Mashine ziko za aina nyingi, ni vema uweke maelezo zaidi ya mahitaji yako ili upewe ushauri unaokufaa zaidi.
 
Hujaeleza bajeti yako ya pump na details za shamba lako. Mashine ziko za aina nyingi, ni vema uweke maelezo zaidi ya mahitaji yako ili upewe ushauri unaokufaa zaidi.
mashine ya kawaida, HP 7.0, inayotumia GESI na PETROLI,
 
mashine ya kawaida, HP 7.0, inayotumia GESI na PETROLI,
Mkuu hata mimi mwanzoni nilikua napima uwezo wa water pump kwa HP, utakuja kupoteza hela. Haujatoa bajeti wala details za shamba ila nakushauri hivyo hivyo. Fuata kampuni zinazofahamika za water pumps utapata pump ya uwezo kulingana na shamba lako. Pump za kununua kariakoo zinaweza kuwa na HP unayoitaka ila zisifikishe maji unakotaka.
 
mashine ya kawaida, HP 7.0, inayotumia GESI na PETROLI,
Yaani ushauri wangu mkubwa ni usinunue pump bila kupewa ushuhuda na mtu mwenye shamba la aina yako au anayezijua sana hizo pump. Hapo kwenye gesi na petroli sijakuelewa vizuri. Mimi binafsi nazijua pump za petroli, diesel, umeme na solar. Za gesi kama zipo huenda ni option nzuri.
 
Yaani ushauri wangu mkubwa ni usinunue pump bila kupewa ushuhuda na mtu mwenye shamba la aina yako au anayezijua sana hizo pump. Hapo kwenye gesi na petroli sijakuelewa vizuri. Mimi binafsi nazijua pump za petroli, diesel, umeme na solar. Za gesi kama zipo huenda ni option nzuri.
Zipo mkuu ni toleo jipya,
 
Mkuu hata mimi mwanzoni nilikua napima uwezo wa water pump kwa HP, utakuja kupoteza hela. Haujatoa bajeti wala details za shamba ila nakushauri hivyo hivyo. Fuata kampuni zinazofahamika za water pumps utapata pump ya uwezo kulingana na shamba lako. Pump za kununua kariakoo zinaweza kuwa na HP unayoitaka ila zisifikishe maji unakotaka.
nakushukur mkuu kwa ushauri ntafanya hivyo
 
Mkuu hata mimi mwanzoni nilikua napima uwezo wa water pump kwa HP, utakuja kupoteza hela. Haujatoa bajeti wala details za shamba ila nakushauri hivyo hivyo. Fuata kampuni zinazofahamika za water pumps utapata pump ya uwezo kulingana na shamba lako. Pump za kununua kariakoo zinaweza kuwa na HP unayoitaka ila zisifikishe maji unakotaka.
mkuu shamba langu lipo karbu sana na mto, na pana kama eka 5 tu so nahitaji mashine ya kawaida, bei zake huwa zinaanzia 280,000 - 400,000 hii hutegemeana na uwezo, na kampuni husika, mfano, honda, boss ,king max, warriol nk!
 
mkuu shamba langu lipo karbu sana na mto, na pana kama eka 5 tu so nahitaji mashine ya kawaida, bei zake huwa zinaanzia 280,000 - 400,000 hii hutegemeana na uwezo, na kampuni husika, mfano, honda, boss ,king max, warriol nk!
Si utajenga pia mnara wa kupandisha maji juu? Maana kama unaweka drip irrigation pengine utayaingiza kwanza juu kwenye tank halafu yashuke yenyewe kwa gravity.

Mimi nina experience na kampuni moja tu ya Davis & Shirtliff. Niliwahi jaribu mashine ya kukodi ya HP 8 ikachemka kupandisha maji mnarani. Nikachukua ya hao jamaa ya laki sita na nusu, ni very very powerful na ina HP 7 lakini inatumia petroli.

Hizo za gesi natamani nami nijifunze pia, ila pump niliyonayo imemaliza mahitaji yote kwa shamba langu na ina uwezo wa kupeleka maji hadi kilomita 2!
 
Back
Top Bottom