Mashine ya kunyolea

Mashine ya kunyolea

Kilangi masanja

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
4,495
Reaction score
5,025
Helo guyz naiman hapa ni jukwaa la lenye watu wengi wa kada tofauti na ujuzi tofauti ilatunashea ujuzi wa kisayansi na kiteknolojia apa.

Ninahitaji kupewa ushauri / kupewa mchanganuo pia wa kampuni nzuri ya mashine ya kunyolea kwa matumizi ya familia yangu tu.

Ningependa kujua haya1.Bei yake
2Jina la kampuni husika
3.inakopatikana.

Na hata nikipata picha na mbinu ya kuitambua itakua poa.
 
Helo guyz naiman hapa ni jukwaa la lenye watu wengi wa kada tofauti na ujuzi tofauti ilatunashea ujuzi wa kisayansi na kiteknolojia apa.
Ninahitaji kupewa ushauri / kupewa mchanganuo pia wa kampuni nzuri ya mashine ya kunyolea kwa matumiz ya familia yangu tu .
Ningependa kujua haya1.Bei yake
2Jina la kampuni husika
3.inakopatikana .
Na hata nikipata picha na mbinu ya kuitambua itakua poa

Tafuta WAHL utakuwa umemaliza kazi.
Kwa matumizi ya nyumbani WAHL HOMECUT .
bei yake 100,000 hadi 120,000
 
Helo guyz naiman hapa ni jukwaa la lenye watu wengi wa kada tofauti na ujuzi tofauti ilatunashea ujuzi wa kisayansi na kiteknolojia apa.
Ninahitaji kupewa ushauri / kupewa mchanganuo pia wa kampuni nzuri ya mashine ya kunyolea kwa matumiz ya familia yangu tu .
Ningependa kujua haya1.Bei yake
2Jina la kampuni husika
3.inakopatikana .
Na hata nikipata picha na mbinu ya kuitambua itakua poa
1628057749693.png

HII INAPATIKANA KARIAKOO KWA TZS. 100,000/.
MIMI NIMENUNUA HIVI KARIBUNI, INAFAA KWA MATUMIZI YA NYUMBANI NA SALUNI.
 
Back
Top Bottom