INAUZWA Mashine ya kupiga dawa inauzwa, bei 230000/

INAUZWA Mashine ya kupiga dawa inauzwa, bei 230000/

ntakisigae

Senior Member
Joined
Nov 26, 2013
Posts
186
Reaction score
66
Mashine ni mpya kabisa,haijatumika.
Inafaa kupiga dawa kwenye magugu na kukupiga kwenye miti (mikorosho,miembe n.k) na mazao mbalimbali kuzuia kuvu na wadudu.Na pia kupiga dawa maghalani ,maofisini,majumbani.
Inaweza kutumia sulphur ya unga na dawa za maji.
Ina ujazo wa lita 20 na inatumia petroli.
Ina vifaa vya kujikinga kama,miwani,na barakoa.
Bei ni 230000/=
Mashine ipo Mkuranga,Pwani,lakini,inaweza kutumwa ulipo bila shaka.
Mawasiliano:0685381338
 

Attachments

  • 28D9FE8D-680D-48FC-8A44-E8607A04C422.jpeg
    28D9FE8D-680D-48FC-8A44-E8607A04C422.jpeg
    701.1 KB · Views: 8
  • AFA7FC4F-6A9A-4DDF-8AC4-BC094A8CEF88.jpeg
    AFA7FC4F-6A9A-4DDF-8AC4-BC094A8CEF88.jpeg
    1.3 MB · Views: 8
  • D2385D0B-0650-4995-8F71-F808F7851805.jpeg
    D2385D0B-0650-4995-8F71-F808F7851805.jpeg
    1.2 MB · Views: 8
  • 6921A83C-4B48-4941-9986-095DB6BB67F7.jpeg
    6921A83C-4B48-4941-9986-095DB6BB67F7.jpeg
    1.2 MB · Views: 7
Back
Top Bottom