INAUZWA Mashine ya kupiga dawa inauzwa, bei 230000/

ntakisigae

Senior Member
Joined
Nov 26, 2013
Posts
186
Reaction score
66
Mashine ni mpya kabisa,haijatumika.
Inafaa kupiga dawa kwenye magugu na kukupiga kwenye miti (mikorosho,miembe n.k) na mazao mbalimbali kuzuia kuvu na wadudu.Na pia kupiga dawa maghalani ,maofisini,majumbani.
Inaweza kutumia sulphur ya unga na dawa za maji.
Ina ujazo wa lita 20 na inatumia petroli.
Ina vifaa vya kujikinga kama,miwani,na barakoa.
Bei ni 230000/=
Mashine ipo Mkuranga,Pwani,lakini,inaweza kutumwa ulipo bila shaka.
Mawasiliano:0685381338
 

Attachments

  • 28D9FE8D-680D-48FC-8A44-E8607A04C422.jpeg
    701.1 KB · Views: 8
  • AFA7FC4F-6A9A-4DDF-8AC4-BC094A8CEF88.jpeg
    1.3 MB · Views: 8
  • D2385D0B-0650-4995-8F71-F808F7851805.jpeg
    1.2 MB · Views: 8
  • 6921A83C-4B48-4941-9986-095DB6BB67F7.jpeg
    1.2 MB · Views: 7
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…