Mashine ya kusaga, kukoboa mahindi na mpunga

Joined
Oct 14, 2018
Posts
66
Reaction score
63
Asalaam wakuu, poleni na janga la korona popote mlipo.

Kwa kifupi nipo kijijini na mtumishi, nauliza kwa mwenye uzoefu wa hizi mashine za kukoboa na kusaga, changamoto zake na bei zake na zinavyolipa.

Nipo kwenye kijiji ambacho hakina mashine ya uhakika kabisa ya huduma hiyo.

Naombeni mwenye taarifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sido milioni sita unapata complete kinu na mota ama watafute auto sokoni .wanabranch iringa na dar
 
Nicheki mkuu 0658438825

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo boss. picha ina maelezo

.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…