Mashine ya kutengeneza na kukausha chaki za mashuleni on sale

Mashine ya kutengeneza na kukausha chaki za mashuleni on sale

KIJANI

Senior Member
Joined
Dec 13, 2010
Posts
138
Reaction score
26
Mashine ya Kutengeneza na Kukausha Chaki za Shuleni ON SALE Tsh 30mil (Milioni 30)

Karibu tufanye biashara. Call 0767 235923.

Sifa za Mashine ya Kutengeneza Chaki:

  • Inatumia Umeme wa Single Phase;
  • Ni Semi-Automatic: Inatumia Motor kuchanganya Unga wa CHaki na Maji;
  • Ina Moulds (vinu) 6 za Kutengenezea Chaki. Ambapo, kila Mould ina Slots (matundu) 800;
  • Uwezo wake kuzalisha kwa Siku ni angalau Pcs za Chaki 150,000;
Sifa za Mashine ya Kukausha Chaki:
  • Inatumia umeme wa 3Phase;
  • Ina Plates 96 za kukaushia Chaki;
  • Ina uwezo wa kukausha angalau Pcs za chaki 300,000 kwa Siku;
NOTE:
  • Mashine zote 2 zinauzwa Pamoja.
  • Mashine zinapatikana Dar es Salaam - Ubungo.
  • Mashine zote ni Mpya hazijawahi kufanya kazi.
  • Bei Tajwa hapo juu haijumuishi Banda ambapo mashine hizo zimesimikwa.
 
Mashine ya Kutengeneza na Kukausha Chaki za Shuleni ON SALE Tsh 30mil (Milioni 30)

Karibu tufanye biashara. Call 0767 235923.

Sifa za Mashine ya Kutengeneza Chaki:

  • Inatumia Umeme wa Single Phase;
  • Ni Semi-Automatic: Inatumia Motor kuchanganya Unga wa CHaki na Maji;
  • Ina Moulds (vinu) 6 za Kutengenezea Chaki. Ambapo, kila Mould ina Slots (matundu) 800;
  • Uwezo wake kuzalisha kwa Siku ni angalau Pcs za Chaki 150,000;
Sifa za Mashine ya Kukausha Chaki:
  • Inatumia umeme wa 3Phase;
  • Ina Plates 96 za kukaushia Chaki;
  • Ina uwezo wa kukausha angalau Pcs za chaki 300,000 kwa Siku;
NOTE:
  • Mashine zote 2 zinauzwa Pamoja.
  • Mashine zinapatikana Dar es Salaam - Ubungo.
  • Mashine zote ni Mpya hazijawahi kufanya kazi.
  • Bei Tajwa hapo juu haijumuishi Banda ambapo mashine hizo zimesimikwa.
  • View attachment 1268449
Mkuu umepata mteja?
 
Retail price yake dukani huwa ni ngapi ?
 
Back
Top Bottom