Mashine ya kutengenezea mifuko mbadala

ronsoti kati

Member
Joined
Nov 23, 2019
Posts
11
Reaction score
6
Habari ndugu zangu kwa pilikalilika za kutwa nzima ,nimevutiwa na ujasiliamali hivyo nikaona bora niingie katika suala la ujasiliamali.

Ndugu zangu naomba msaada kwa mtu yeyote anayefahamu mashine ya kutengenezea mifuko mbadala inapatikana wapi,na inauzwa sh ngapi .Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda Sido iliyo karibu nawe, utapata maelekezo yote.
Au tembelea kariakoo japo sijajua uko mkoa gani.
Kila la kheri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
na wapi malighafi zake zinapatikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…