Biashara2000
JF-Expert Member
- Nov 9, 2013
- 649
- 547
Habari zenu. Mnamo mwezi wa nne mwaka huu nilinunua mashine ya kutengeneza mkaa wa kisasa kwa kutumia matakataka makavu kwa sh. 850,000 kutoka katika shirika la wafaransa liitwalo ARTI Energy ARTI Energy ambao wako pale Mbezi tanki bovu. Mashine hii inatumia motor ya umeme na ina uwezo wa kutengeneza viroba vile vya kilo hamsini vya mkaa 5 kwa siku. Kwa maana hiyo ni kuwa kama uko Dar na unatengeneza magunia 5 ya mkaa na kuuza kwa sh. 15,000 tu, kwa siku unatengeneza sh. 75,000. Mimi naiuza mashine hii kwa sh. 500.000. Kwa maana hiyo chini ya siku 10 utakuwa usharudisha hela yako. Utakaponunua mashine hii utapata na pipa bla kuchomea matakataka na training kutoka kwangu bure.
Sababu ya kuiuza mashine hii ni kuwa, nimeamua kuukuza mradi wangu zaidi kwa kununua mashine kubwa kidogo ya hii kutoka katika shirika hilo hilo.
Kwa ambaye yuko interested awasiliane na mimi ili apate kuja kuiona mashine yenyewe.
Asanteni.
Sababu ya kuiuza mashine hii ni kuwa, nimeamua kuukuza mradi wangu zaidi kwa kununua mashine kubwa kidogo ya hii kutoka katika shirika hilo hilo.
Kwa ambaye yuko interested awasiliane na mimi ili apate kuja kuiona mashine yenyewe.
Asanteni.